K kasenene JF-Expert Member Joined Jun 6, 2008 Posts 1,632 Reaction score 2,413 Jan 8, 2017 #1 Kama ni swala la kiufundi tunajua wazi hana uwezo huo. Kama ni swala umaskini wa TFF kwa kisingizio kocha mzalendo, mbona wapo wazalendo wengi wazuri kuliko yeye. Je nini malengo ya TFF kwa timu ya Taifa?
Kama ni swala la kiufundi tunajua wazi hana uwezo huo. Kama ni swala umaskini wa TFF kwa kisingizio kocha mzalendo, mbona wapo wazalendo wengi wazuri kuliko yeye. Je nini malengo ya TFF kwa timu ya Taifa?