TFF kumpa Mayanga timu ya taifa wametumia kigezo gani?

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Kama ni swala la kiufundi tunajua wazi hana uwezo huo. Kama ni swala umaskini wa TFF kwa kisingizio kocha mzalendo, mbona wapo wazalendo wengi wazuri kuliko yeye.

Je nini malengo ya TFF kwa timu ya Taifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…