TFF kutoa orodha ya majina yanayowania tuzo kabla ya ligi kuisha ni dhahiri washapanga wa kumpa tuzo hata Kama hastahili.

TFF kutoa orodha ya majina yanayowania tuzo kabla ya ligi kuisha ni dhahiri washapanga wa kumpa tuzo hata Kama hastahili.

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Tff na Bodi ya ligi haya ni madudu makubwa Tena makubwa sana mliyoyaonesha ya kutoa orodha ya majina ya wanao wania hizo tuzo kabla ya ligi kufika tamati.

Bila kupepesa Macho NALIA NGWENA na "conclude" moja kwa moja kuwa tayali mna watu wenu mnataka kuwapa tuzo hata Kama hawastahili hizo tuzo.


Hatari sana.
 
Tff na Bodi ya ligi haya ni madudu makubwa Tena makubwa sana mliyoyaonesha ya kutoa orodha ya majina ya wanao wania hizo tuzo kabla ya ligi kufika tamati.

Bila kupepesa Macho NALIA NGWENA na "conclude" moja kwa moja kuwa tayali mna watu wenu mnataka kuwapa tuzo hata Kama hawastahili hizo tuzo.

Je huko ulaya waliotuzidi kima endeleo ya mpira hufanya hivyo??

Hatari sana.
Labda hufatilii mpira wa ulaya ila ligi ya England wameshatangaza tayari na bado ligi haijaisha
 
Evidence [emoji3525]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
De gea golden grove
Screenshot_20230520_210750_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom