TFF kutoa orodha ya majina yanayowania tuzo kabla ya ligi kuisha ni dhahiri washapanga wa kumpa tuzo hata Kama hastahili.

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Tff na Bodi ya ligi haya ni madudu makubwa Tena makubwa sana mliyoyaonesha ya kutoa orodha ya majina ya wanao wania hizo tuzo kabla ya ligi kufika tamati.

Bila kupepesa Macho NALIA NGWENA na "conclude" moja kwa moja kuwa tayali mna watu wenu mnataka kuwapa tuzo hata Kama hawastahili hizo tuzo.


Hatari sana.
 
Labda hufatilii mpira wa ulaya ila ligi ya England wameshatangaza tayari na bado ligi haijaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…