Huyo na Amunike labda wanashare demu.Manula avuliwe Utanzania one. .goli la kwanza hata makipa wa under 20 hawawezi kufungisha..hata Lesotho alifungisha kama jana. .
Kipa namba mbili allicheza vizuri kuliko ManulaHuyo na Amunike labda wanashare demu.
Makonda hachelewi kusema sisi ni Nchi huru hatuingiliwi na mabeberu. 😀 😀FIFA WAKIBAINI HILO Mnapigwa makufuli!! maana FIFA na siasa mbalimbali
Karia ajitokeze aliweke hili sawa, vinginevyo watu wataripoti FIFA Kuwa timu hii wanayoitambua kama ya Taifa sivyo bali ni ya Chama kilicho madarakani kwa hila na kulingana na kanuni za FIFA nchi inaweza kufungiwa kushiriki.
Karia ajitokeze aliweke hili sawa, vinginevyo watu wataripoti FIFA Kuwa timu hii wanayoitambua kama ya Taifa sivyo bali ni ya Chama kilicho madarakani kwa hila na kulingana na kanuni za FIFA nchi inaweza kufungiwa kushiriki.
Wkaria huyuhuyu aliyembeza lissu??Karia ajitokeze aliweke hili sawa, vinginevyo watu wataripoti FIFA Kuwa timu hii wanayoitambua kama ya Taifa sivyo bali ni ya Chama kilicho madarakani kwa hila na kulingana na kanuni za FIFA nchi inaweza kufungiwa kushiriki.
Tafsiri yake wanamuogopa MakondaHivi TFF hawajang'amua tu madhara ya kauli ya Makonda kwamba Taifa stars ni mali ya CCM? Hivi CCM ndo Tanzania? Kwahiyo wale ambao ni watanzania na sio wana CCM, Taifa stars sio ya kwao??
TFF kukaa kimya means wameunga mkono hiyo kauli au vipi?
Bado safari ni ndefu......