M mansoorsaid JF-Expert Member Joined May 31, 2014 Posts 1,498 Reaction score 286 Jun 3, 2015 #21 hizo sio jezi za timu ya taifa ni timu ya tff rangi ya bendera ya taifa ni nyeusi kijani blue na njano iweje rangi nyekundu nyeupe ziwepo bure kabisa
hizo sio jezi za timu ya taifa ni timu ya tff rangi ya bendera ya taifa ni nyeusi kijani blue na njano iweje rangi nyekundu nyeupe ziwepo bure kabisa
Red Giant JF-Expert Member Joined Mar 9, 2012 Posts 15,657 Reaction score 20,967 Jun 3, 2015 #22 Bulldog said: Sijaona hizo jezi Click to expand...
Yombayomba JF-Expert Member Joined Aug 23, 2006 Posts 818 Reaction score 214 Jun 4, 2015 #23 Hii yote kuficha HAYALISM, ili watu tusahau hili GONJWA aliloleta kwenye institution ya nchi. So sad, watu tunashindwa kukemea, ingali mapema.
Hii yote kuficha HAYALISM, ili watu tusahau hili GONJWA aliloleta kwenye institution ya nchi. So sad, watu tunashindwa kukemea, ingali mapema.
Yombayomba JF-Expert Member Joined Aug 23, 2006 Posts 818 Reaction score 214 Jun 4, 2015 #24 Tuwe wa kweli, alibuni hizi jezi, uwezo mdogo, jezi ya Taifa haiwezi kuwa kama ya kwenda kuchezea ngoma za kienyeji. Hizi wapeni dansa wa Diamond, hazina heszhima ya kuvaliwa na timu ya Taifa
Tuwe wa kweli, alibuni hizi jezi, uwezo mdogo, jezi ya Taifa haiwezi kuwa kama ya kwenda kuchezea ngoma za kienyeji. Hizi wapeni dansa wa Diamond, hazina heszhima ya kuvaliwa na timu ya Taifa
kkenzki JF-Expert Member Joined Oct 27, 2012 Posts 1,498 Reaction score 2,483 Jun 4, 2015 #26 Red Giant said: Click to expand... Ina maana Adidas kaacha kutudhamini, doh