Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
ANGALIZO kwa TFF
Endapo TFF inakubali Kula Matapishi yake kwa Kuwasikiliza Wanaoshabiki UHUNI na MATUSI ya HAJI MANARA tunaitaka TFF iwajibike kwa kuwaondolea Adhabu na kurudisha Fedha za Faini walizotozwa Watu mbalimbali waliohukumiwa na Kamati ya MAADILI ya TFF.Tunawasikia Watu mbalimbali wakimtetea Haji Manara badala ya kumkemea kwa Tabia mbaya aliyonayo.Haji Manara wakati akiwa Msemaji wa SIMBA Rais wa TFF MALINZI alimfungia kupitia Kamati ya Maadili ya TFF na huyu RAIS wa Sasa wa TFF Bw. KARIA ndiye alimsamehe lakini leo tena Karudia hivyo ni MZOEFU .Wafuatao Wamefungiwa na Kamati ya Maadili wanatumikia ADHABU zao je MANARA yeye ni nani mpaka Asitumikie?
1.Shafii Dauda kafungiwa Miaka 5
2 Lwitiko wa Mbeya kafungiwa Miaka 10
3.Mbwana Makata kafungiwa Miaka 5
4.Michael Wambura kafungiwa Miaka 5
5.Kiongozi wa Klabu ya Buashara United kafungiwa MAISHA
Watanzania Tunataka Heshima kwenye SOKA sio UHUNI wa Manara
na Viongozi wa Vilabu na Wazee wa YANGA badala ya kumkanya MANARA eti mnatishia kwenda kumwona RAIS na Klabu ya YANGA badala ya kumkanya Msemaji wenu Eti mnadai umefungiwa YANGA
Watanzania Hatutaki UHUNI kwenye SOKA LETU
MANARA atumikie ADHABU Kama WENGINE hakuna aliye juu ya SHERIA
Endapo TFF inakubali Kula Matapishi yake kwa Kuwasikiliza Wanaoshabiki UHUNI na MATUSI ya HAJI MANARA tunaitaka TFF iwajibike kwa kuwaondolea Adhabu na kurudisha Fedha za Faini walizotozwa Watu mbalimbali waliohukumiwa na Kamati ya MAADILI ya TFF.Tunawasikia Watu mbalimbali wakimtetea Haji Manara badala ya kumkemea kwa Tabia mbaya aliyonayo.Haji Manara wakati akiwa Msemaji wa SIMBA Rais wa TFF MALINZI alimfungia kupitia Kamati ya Maadili ya TFF na huyu RAIS wa Sasa wa TFF Bw. KARIA ndiye alimsamehe lakini leo tena Karudia hivyo ni MZOEFU .Wafuatao Wamefungiwa na Kamati ya Maadili wanatumikia ADHABU zao je MANARA yeye ni nani mpaka Asitumikie?
1.Shafii Dauda kafungiwa Miaka 5
2 Lwitiko wa Mbeya kafungiwa Miaka 10
3.Mbwana Makata kafungiwa Miaka 5
4.Michael Wambura kafungiwa Miaka 5
5.Kiongozi wa Klabu ya Buashara United kafungiwa MAISHA
Watanzania Tunataka Heshima kwenye SOKA sio UHUNI wa Manara
na Viongozi wa Vilabu na Wazee wa YANGA badala ya kumkanya MANARA eti mnatishia kwenda kumwona RAIS na Klabu ya YANGA badala ya kumkanya Msemaji wenu Eti mnadai umefungiwa YANGA
Watanzania Hatutaki UHUNI kwenye SOKA LETU
MANARA atumikie ADHABU Kama WENGINE hakuna aliye juu ya SHERIA