TFF mmeona walichokifanya Utopolo leo uwanjani, nasubiria mseme neno

TFF mmeona walichokifanya Utopolo leo uwanjani, nasubiria mseme neno

Mm ni Simba ila utopolo kuja uwanjani na mabasi tofauti tofauti hakuna kanuni ya tff iliyokiukwa hapo. Tuombe tu Mungu tufike penati ndg yangu
 
Mshaanza lawama! Hifadhini nyingine mtatoa baadae
 
Back
Top Bottom