TFF mnachokitafuta soon mtakipata

Ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka,Karia ni Rais wa tff atakayeondoka kwa aibu kwenye kiti kuliko ma-rais wote waliowahi kupita tff,time will tell...View attachment 2346940

Mkuu nikurekebishe kidogo hapo. Sheria ya wachezaji wa kigeni ni 12 na yanga ilishapeleka majina TFF na wachezaji wakapewa lessen ambazo ndyo zinapelekwa CAF na wakapeleka.

Inshu inakuja ameshajiliwa kisinda dakika za mwsho na YANGA wakaomba litolewe jina la kambole liwekwe jina la kisinda na hii ingewezekana endapo yanga wangemtoa kambole kwa transfer tu lakin sas mchezaji bado yupo katika klabu na hajafanyiwa transfer yoyote kwahyo jina haliwez kukatwa labda wangemtoa hata kwa mkopo alafu ndyo wamsajili kisinda wapeleke jina lake na wakati huo walishachelewa
 
tuwekeni ushabiki wa team pembeni, wanayofanyiwa Yanga ni uonevu tu na zinatumika mabavu kuwaonea, Serikal ikichelewa kuikalisha chini Tiefuefu nawaambia mambo yatakua mabaya ktk jamii, mpira unabeba hisia kali kutoka ktk mioyo ya watu... Ukiangalia comments za Wanayanga ktk mitandao ya kijamii ni dhahiri soon litatokea jambo baya... Kuna mambo tiefuefu wanayafanya hadi unashangaa unaweza kuhisi Yanga ni team ya Taifa lingine inahujumiwa ili isitoboe ktk ardhi ya Tz...
 
Makolo FC mje apa na majibu mkishindwa mtumieni Msomali wenu awasaidie kujibu.View attachment 2346871
Chikwende na kahata mmoja alisajiliwa kucheza ligi kuu na mmoja kucheza CAF. Kwa TK na kambole Yanga wanataka TK acheze ligi kuu na kimataifa kambole awe mshabiki. Hauoni kama ni mifano miwili tofauti.

Habib katoka Singida kwenda Simba ilikua ndani ya dirisha la usajili, kambole katoka Yanga kwenda timu gan? TK anachukuaje nafas ya kambole wakati kambole bado yupo hajaacha nafas.

Mimi nadhan hata Sisi mashabiki ni sehem ya tatizo mpira wa Tanzania maana hatutaki kuangalia ukweli halis bila ushabiki. Matokeo yake hata viongoz wa vilabu vyetu wakifanya makosa Sisi tunatetea Tu. Sasa watajifunzaje? Watakuaje makini?
 
Sasa kama mchezaji ni majeruhi je?
 
Kwamba Yanga wataiadhibu TFF? au huo mkwara unaochimb kuwa watakipata wanachokitafuta ni kinini?
 
Karia huu mwaka atoboi akiwa madarakani uwezi kushindana na wananchi ukashinda..
Hii ndio akili yako imefika mwisho kufikiri?ulimchagua kalia ?wewe na viongozi wako mnaweza kumshitaki wapi karia?juwa mpira kwanza kabla ya kuwa mshabiki itakusaidia .Karia akipenda kuendelea na uongozi wa TFF ataendelea tu mpaka uchaguzi ujao.Na uchaguzi anajua namna ya kushinda ataendelea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…