Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Na nyinyi mnaojifanya ni Wanaijeria wa Plateau tuwaiteje? Maana kama kesi ni kudeal na mechi isiyokuhusu, basi hata nyie game ya Simba vs Plateau HAIWAHUSU,Mikia mataahira
Mikia mataahira, kubishana na ninyi ni kupoteza mudaNa nyinyi mnaojifanya ni Wanaijeria wa Plateau tuwaiteje? Maana kama kesi ni kudeal na mechi isiyokuhusu, basi hata nyie game ya Simba vs Plateau HAIWAHUSU,
Ila inashangaza kwamba tayari mmeshanunu mijezi yao, sema tu mnaona aibu kuivaa sasa baada ya hao wapuuzi wenzenu kupigwa 1 - 0 wakiwa sebuleni kwao.
Nyie ni Makumazani kweli kweli!
Na jez tumeshanunuaTusiwaone kwenye mechi yetu na plateau
Tutakutana taifa
Mnataka wafanye nini tena ndio mchukue hatua kali. Wapeni adhabu ya kutoingia uwanjani msimu mzima. Haiwezekani watu na akili zetu tunaenda kuangalia soka tunakutana na mambo ya kipumbavu toka kwa watu wale wale.
Nashauri klabu yangu ya Simba SC itafakari namna ya kuzuia mashabiki wa Yanga kwenye mechi zake
Uhuni gani unauzungumzia wewe?! Yaani shabiki wa mikia aende kwenye mechi na kutukana halafu alalamike kuwa anaonewa?Utopolo kumejaa wahuni.