TFF msiogope kukosolewa, acheni nidhamu ya uwoga, Wasemaji msihofu vitisho, semeni mapungufu ya marefa

TFF msiogope kukosolewa, acheni nidhamu ya uwoga, Wasemaji msihofu vitisho, semeni mapungufu ya marefa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kuna HABARI
Agis habari WA YANGA amefungiwa miaka 2

Kifupi tu huu ni UWOGA na Tff mkumbuke hii n mwanzo tu hakuna watu WAACHA kuwasemea UPUUZI WENU na UPUUXI WA Refa

Kama mlifikiri mkimfungia Ali kamwe mnaidhoofisha Yanga mmejichanganya wenyewe hakuna jipya

WAsemaji adhabu ya kamwe isiwaogopeshe Hawa watu n waoga wanafiki wanataka kusifiwa tu

Huwezi kuniambiaaa nimsifie Refa akifanya vizuri huo n ujinga hio n wajibu wake

Huwa nkashangaa watu wakinsifia RJIGHA kwa ubora wake Ile n kazi yake na wajibu wake kuperform vizuri

Sisi WA Nje tunatakiwa kuona MAPUNGUFU na kuwaelezaaa ukweli

Mkikataa ukweli mnajiaribia hio n rassisi sio shirika la ummaa

Miaka MINNE iliyopita kulikuwa na upangaji mkubwa WA matokeo YAAN marefa Wala awakuangalia kushoto Wala kulia kila mechi kilio kwa timu ndogo

MWAAMUZI MMOJA akapenyeza taarifa kwa WAANDISHI WA HABARI tunawadaii pesa nyingi sana

Skasa unapewa helà timuflan ishinde ntaachaje

Tff WAKAJITOKEZAA wakakiri n kweli WANADAIWA lakini Hawa n waajiriwanwa mda mrefu hawatakiwi kulalamikia njee

ULE ULIKUWA n ujinga mwajiriwa WA mda mrefu ale mchanga we ULE Kuku na wanao uwache KUWALIPIA

WAPENDWA BAADA ya mwezi MWAMUZI yuleyule akapenyeza tumelipwa pesa zetu zotee na kuwashukuru wandishi WA habari

Hii mijituuu inataka kusifiwa tu sasa nani asioeona UPUUZI WA MAREFA mpaka mkalazimika kumtungulia RJIGHA

Hivi mnafungiaaa mpaka lini

WAAMUZI washenzi walee wanatoa kadi nyekundu alafu mnasema HAMJAONA kosa la kadi mnajua madhara ya kumtoa mtu na kadi nyekundu nyie

Mnajua NAMUNGO waliathirikaje alafu unaona kabisa huyu NDIE anasumbua washambuliaji WA Simba huu ushenzi. Aubumiliki tff badilikeni

Mtafungia na ukweli mtaambiwa wafungien HATA miaka kumi watanyanyuka WASIO waoga na watasema ukweli

Muavhe KUPANGA matokeo mnaaibisha kila mtu aliona mlichokuwa mnafanya na marefa WENU uwanjan

Alikamwe kaongea marefa wanabadilika Ile n aibuuu aibuu AIBU

Mbadilike mkubali kusemwa kuambiwa ukweli
 
Andika vizuri hicho kichwa cha habari ndio tusome mada
 
Mkuu unafoka mpaka mwandiko umelala duh!
 
Alicho ongea Ali Kamwe ni sahihi, Yeye anaupenda mpira wetu kuliko ao Tff.
Ukweli uliopo Simba ilipo sasa ni sababu ya makosa ya kibinadamu.

Mechi na Pamba, JKT, Dodoma Jiji , Azam, Namungo, Mashujaa n.k

Kama kusingekua na Makosa ya kibinadamu Simba ingekua Chini ya Azam au Singida.
Uo ndio ukweli atakama Tff mtamfungia Ally Kamwe, Anabaki kama shujaa wa mpira wa Tanzania.

Ata mki mtoa kafara Ally Kamwe ili kuwatisha viongozi wa vilabu wasiongee inatakiwa mjue ndio mmechochea uovu katika soka letu uzidi kuwekwa wazi.

Social Media ni platform ya wazi na uko ndio taarifa zinasomeka kimataifa na harufu ya uozo inafika mbali zaidi.
 
Alicho ongea Ali Kamwe ni sahihi, Yeye anaupenda mpira wetu kuliko ao Tff.
Ukweli uliopo Simba ilipo sasa ni sababu ya makosa ya kibinadamu.

Mechi na Pamba, JKT, Dodoma Jiji , Azam, Namungo, Mashujaa n.k

Kama kusingekua na Makosa ya kibinadamu Simba ingekua Chini ya Azam au Singida.
Uo ndio ukweli atakama Tff mtamfungia Ally Kamwe, Anabaki kama shujaa wa mpira wa Tanzania.
Kabisa kamandaa hili soka kumekuwa la WAPIGA dili
 
Kabisa kamandaa hili soka kumekuwa la WAPIGA dili
Pale Tff na Bodi ya ligi kuna uozo mwingi hivi inakuaje taarifa kama hii kabla haijatolewa na wao tayari imevuja!!
Inamaana Tff au kamati yenyewe aina maadili na haifai kuwepo.

Kuna nyakati Taarifa inatoka fifa kuja Tff kwaajili ya klabu fulani lakini kabla klabu husika haija julishwa unakuta imevuja mtandaoni yaani Tff ni kama kichaka cha wahuni.
 
Pale Tff na Bodi ya ligi kuna uozo mwingi hivi inakuaje taarifa kama hii kabla haijatolewa na wao tayari imevuja!!
Inamaana Tff au kamati yenyewe aina maadili na haifai kuwepo.

Kuna nyakati Taarifa inatoka fifa kuja Tff kwaajili ya klabu fulani lakini kabla klabu husika haija julishwa unakuta imevuja mtandaoni yaani Tff ni kama kichaka cha wahuni.
Mkuuu

Ndiooo wanaijadili hiooo mda huu kumbe HATA tff hawana NIDHAMU kama kamati ya NIDHAMU aijatoa taarifa gafla imevuja NIDHAMU mbovu
 
Back
Top Bottom