Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kuna HABARI
Agis habari WA YANGA amefungiwa miaka 2
Kifupi tu huu ni UWOGA na Tff mkumbuke hii n mwanzo tu hakuna watu WAACHA kuwasemea UPUUZI WENU na UPUUXI WA Refa
Kama mlifikiri mkimfungia Ali kamwe mnaidhoofisha Yanga mmejichanganya wenyewe hakuna jipya
WAsemaji adhabu ya kamwe isiwaogopeshe Hawa watu n waoga wanafiki wanataka kusifiwa tu
Huwezi kuniambiaaa nimsifie Refa akifanya vizuri huo n ujinga hio n wajibu wake
Huwa nkashangaa watu wakinsifia RJIGHA kwa ubora wake Ile n kazi yake na wajibu wake kuperform vizuri
Sisi WA Nje tunatakiwa kuona MAPUNGUFU na kuwaelezaaa ukweli
Mkikataa ukweli mnajiaribia hio n rassisi sio shirika la ummaa
Miaka MINNE iliyopita kulikuwa na upangaji mkubwa WA matokeo YAAN marefa Wala awakuangalia kushoto Wala kulia kila mechi kilio kwa timu ndogo
MWAAMUZI MMOJA akapenyeza taarifa kwa WAANDISHI WA HABARI tunawadaii pesa nyingi sana
Skasa unapewa helà timuflan ishinde ntaachaje
Tff WAKAJITOKEZAA wakakiri n kweli WANADAIWA lakini Hawa n waajiriwanwa mda mrefu hawatakiwi kulalamikia njee
ULE ULIKUWA n ujinga mwajiriwa WA mda mrefu ale mchanga we ULE Kuku na wanao uwache KUWALIPIA
WAPENDWA BAADA ya mwezi MWAMUZI yuleyule akapenyeza tumelipwa pesa zetu zotee na kuwashukuru wandishi WA habari
Hii mijituuu inataka kusifiwa tu sasa nani asioeona UPUUZI WA MAREFA mpaka mkalazimika kumtungulia RJIGHA
Hivi mnafungiaaa mpaka lini
WAAMUZI washenzi walee wanatoa kadi nyekundu alafu mnasema HAMJAONA kosa la kadi mnajua madhara ya kumtoa mtu na kadi nyekundu nyie
Mnajua NAMUNGO waliathirikaje alafu unaona kabisa huyu NDIE anasumbua washambuliaji WA Simba huu ushenzi. Aubumiliki tff badilikeni
Mtafungia na ukweli mtaambiwa wafungien HATA miaka kumi watanyanyuka WASIO waoga na watasema ukweli
Muavhe KUPANGA matokeo mnaaibisha kila mtu aliona mlichokuwa mnafanya na marefa WENU uwanjan
Alikamwe kaongea marefa wanabadilika Ile n aibuuu aibuu AIBU
Mbadilike mkubali kusemwa kuambiwa ukweli
Agis habari WA YANGA amefungiwa miaka 2
Kifupi tu huu ni UWOGA na Tff mkumbuke hii n mwanzo tu hakuna watu WAACHA kuwasemea UPUUZI WENU na UPUUXI WA Refa
Kama mlifikiri mkimfungia Ali kamwe mnaidhoofisha Yanga mmejichanganya wenyewe hakuna jipya
WAsemaji adhabu ya kamwe isiwaogopeshe Hawa watu n waoga wanafiki wanataka kusifiwa tu
Huwezi kuniambiaaa nimsifie Refa akifanya vizuri huo n ujinga hio n wajibu wake
Huwa nkashangaa watu wakinsifia RJIGHA kwa ubora wake Ile n kazi yake na wajibu wake kuperform vizuri
Sisi WA Nje tunatakiwa kuona MAPUNGUFU na kuwaelezaaa ukweli
Mkikataa ukweli mnajiaribia hio n rassisi sio shirika la ummaa
Miaka MINNE iliyopita kulikuwa na upangaji mkubwa WA matokeo YAAN marefa Wala awakuangalia kushoto Wala kulia kila mechi kilio kwa timu ndogo
MWAAMUZI MMOJA akapenyeza taarifa kwa WAANDISHI WA HABARI tunawadaii pesa nyingi sana
Skasa unapewa helà timuflan ishinde ntaachaje
Tff WAKAJITOKEZAA wakakiri n kweli WANADAIWA lakini Hawa n waajiriwanwa mda mrefu hawatakiwi kulalamikia njee
ULE ULIKUWA n ujinga mwajiriwa WA mda mrefu ale mchanga we ULE Kuku na wanao uwache KUWALIPIA
WAPENDWA BAADA ya mwezi MWAMUZI yuleyule akapenyeza tumelipwa pesa zetu zotee na kuwashukuru wandishi WA habari
Hii mijituuu inataka kusifiwa tu sasa nani asioeona UPUUZI WA MAREFA mpaka mkalazimika kumtungulia RJIGHA
Hivi mnafungiaaa mpaka lini
WAAMUZI washenzi walee wanatoa kadi nyekundu alafu mnasema HAMJAONA kosa la kadi mnajua madhara ya kumtoa mtu na kadi nyekundu nyie
Mnajua NAMUNGO waliathirikaje alafu unaona kabisa huyu NDIE anasumbua washambuliaji WA Simba huu ushenzi. Aubumiliki tff badilikeni
Mtafungia na ukweli mtaambiwa wafungien HATA miaka kumi watanyanyuka WASIO waoga na watasema ukweli
Muavhe KUPANGA matokeo mnaaibisha kila mtu aliona mlichokuwa mnafanya na marefa WENU uwanjan
Alikamwe kaongea marefa wanabadilika Ile n aibuuu aibuu AIBU
Mbadilike mkubali kusemwa kuambiwa ukweli