Fred Mwakitundu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 227
- 382
Shirikisho la soka Tanzania(TFF) limesitisha mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa soko mkoani Kilimanjaro huku usitishwaji huo ukiacha maswali mengi kuliko majibu
Kwanza wamesitisha mchakato huo huku tararibu zote zikiwa zimefanywa ikiwamo usaili wa wagombea pamoja na uhakiki wa vyeti vya elimu
Hata hivyo kusitishwa kwa mchakato huo kumeibua mapya ikiwamo badhi ya wagombea wenye vyeti feki wanaotajwa kuwa na uswahiba na viongozi wa juu wa TFF kupinga ama kugoma kuwasilisha nakala halisi ya vyeti kwa kwa kamati ya uchaguzi kwa ajili ya uhakiki kwenye Baraza la Mitihani la Taifa.
TFF inadaiwa kutaka kuwabeba wagombea amabo hawana vyeti vya kidato cha nne kama katiba ya chama cha soka kilimanjaro inavyotaja sifa za mgombea,sasa hapo ndo patamu wacha tusubiri kama katiba itavunjwa ama la
Tofauti la hao,wenye vyei visivyo na mashaka waliwasilisha nakala halisi ya vyeti vyeti na kwenda kuhakikiwa na wako salama
Mmoja wa wanaodaiwa kugoma kuwasilisha nakala halisi ni Gaga ama kwa jina jingine ni ISAACK ELIAIKA anayedai alisoma sekondari ya Singe huko Babati Manyara na kuhitimu kidato xcha nne mwaka 1991.
Gaga anatajwak uwa karibu na Rais wa TFF ,ndugu Karia na ameahidiwa mambo mengi kama atachaguliwa
INDEX na.SO361-093 anadai alipata daraja 4,kazi kwenu TFF
Kwanza wamesitisha mchakato huo huku tararibu zote zikiwa zimefanywa ikiwamo usaili wa wagombea pamoja na uhakiki wa vyeti vya elimu
Hata hivyo kusitishwa kwa mchakato huo kumeibua mapya ikiwamo badhi ya wagombea wenye vyeti feki wanaotajwa kuwa na uswahiba na viongozi wa juu wa TFF kupinga ama kugoma kuwasilisha nakala halisi ya vyeti kwa kwa kamati ya uchaguzi kwa ajili ya uhakiki kwenye Baraza la Mitihani la Taifa.
TFF inadaiwa kutaka kuwabeba wagombea amabo hawana vyeti vya kidato cha nne kama katiba ya chama cha soka kilimanjaro inavyotaja sifa za mgombea,sasa hapo ndo patamu wacha tusubiri kama katiba itavunjwa ama la
Tofauti la hao,wenye vyei visivyo na mashaka waliwasilisha nakala halisi ya vyeti vyeti na kwenda kuhakikiwa na wako salama
Mmoja wa wanaodaiwa kugoma kuwasilisha nakala halisi ni Gaga ama kwa jina jingine ni ISAACK ELIAIKA anayedai alisoma sekondari ya Singe huko Babati Manyara na kuhitimu kidato xcha nne mwaka 1991.
Gaga anatajwak uwa karibu na Rais wa TFF ,ndugu Karia na ameahidiwa mambo mengi kama atachaguliwa
INDEX na.SO361-093 anadai alipata daraja 4,kazi kwenu TFF