NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Mara mbadilishe tarehe, Mara mbadilishe uwanja mna kaa tena mnakumbuka kitu mnarudisha mechi ichezwe kwenye uwanja ulioibadilisha mwanzo.
Kiufupi mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Je, tukisema mnapanga njama za kuihujumu Yanga Sc ipoteze dhidi ya Azam tutakua tumekosea!?
Hangaikeni mnavyoweza Tena ikibidi mechi ipelekeni hata mwezini na Yanga haitoathirika kisaikolojia Kama mlivyokusudia Azam atapigwa kipigo kibaya tu.
Kiufupi mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Je, tukisema mnapanga njama za kuihujumu Yanga Sc ipoteze dhidi ya Azam tutakua tumekosea!?
Hangaikeni mnavyoweza Tena ikibidi mechi ipelekeni hata mwezini na Yanga haitoathirika kisaikolojia Kama mlivyokusudia Azam atapigwa kipigo kibaya tu.