NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
imekuwaje tena mkuuMara mbadilishe tarehe, Mara mbadilishe uwanja mna kaa Tena mnakumbuka kitu mnarudisha mechi ichezwe kwenye uwanja ulioibadilisha mwanzo...
Sidhani kama kuna Mashindano ya anayeanzisha nyuzi nyingi humu,kiazi kweli weweMara mbadilishe tarehe, Mara mbadilishe uwanja mna kaa Tena mnakumbuka kitu mnarudisha mechi ichezwe kwenye uwanja ulioibadilisha mwanzo.
Kiufupi mnajitekenya na kucheka wenyewe
Je tukisema mnapanga njama za kuihujumu Yanga Sc ipoteze dhidi ya Azam tutakua tumekosea!?
Hangaikeni mnavyoweza Tena ikibidi mechi ipelekeni hata mwezini na Yanga haitoathirika kisaikolojia Kama mlivyokusudia Azam atapigwa kipigo kibaya tu.
HUNA AKILI NA HUNA MARINDASidhani kama kuna Mashindano ya anayeanzisha nyuzi nyingi humu,kiazi kweli wewe