TFF na Bodi ya Ligi mnaogopa kuufungia uwanja wa JKT Tanzania au kwakuwa ni uwanja wa Jeshi?

TFF na Bodi ya Ligi mnaogopa kuufungia uwanja wa JKT Tanzania au kwakuwa ni uwanja wa Jeshi?

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
kila siku tunaimba kuwa ligi yetu imepanda kwa ubora na inasemekana kuwa ipo nafasi ya tano kwa ubora Africa, nimeshangazwa sana toka jana baada ya mchezo wa jkt Tanzania vs Yanga sc kuahirishwa kutokana na uwanja kujaa maji

JKT Tanzania walindelea kutaka mchezo wao uchezwe palepale kwenye uwanja mbovu TFF na Bodi ya ligi hawakupinga tamko la jkt Tanzania kubaki katika uwanja mbovu na usiofaa kabisa katika matumizi ya mchezo

SWALI LANGU je ingekua timu nyingine isiyokiua ya jeshi TFF na Bodi ya ligi wangekaa kimya na kutii matamko ya timu kung"ang"ania uwnja mbovu?

TFF na Bodi ya ligi inachangia pakubwa mno kushusha hadhi ya ligi yetu inayofuatiliwa Africa nzima kwa makosa ya kizembe kama haya
 
Hii ndiyo mechi nilikuwa nina uhakika Yanga atadondosha point maana hawezi kuruka ukuta kwenye kambi ya jeshi. Tena mshukuru tope lile limewabeba maana nyie ni wazee wa matopeni. Mahesabu yangu ya muda mrefu, Simba wangekaza wakashinda zile mechi zake za karibuni na ile derby ya juzi, baada ya leo ungekuta Simba anaongoza ligi ila ndio hivyo klabu imejaa watu wasiojitambua.
 
Ww umepata nguvu wapiii? Kusema TFF Waufungie uwanja. Yaani kisa maji, kisa kuhairishwa ndio ufungiwe? Unaleta hisia kwenye vitu vilivyopangwa tena bila wewe kuhusika?
Watanzania tubadirike tukikosa facts basi tusome tuestablish atleast some facts, huu ujinga gani umeandika, yaani ndio tungekua tunakusikiliza wewe tu. Nadhani hata nafasi ya tano unayosema tungetolewa. Huu ni uwanja wa dundee, game hii ilikua ikichezwa kati ya dundee na ross county, amoung best games in the world, gemu ikawa postponed. Kwasababu ya maji kujaa uwanjani. Na haaikuhairishwa. Next day game likachezeka.
images (79).jpeg
 

Attachments

  • images (78).jpeg
    images (78).jpeg
    79.7 KB · Views: 5
Mwaka huu april 10, uwanja huo huo, game kati yaa dundee naa rangers, ilihairishwa kwasababu ya uwanja kujaa maji. Na haujafingiwa, next game mbungi likapigwa, tena uwanja ukiwa lapulapu, ila mvua haikunyesha na game likaishia 0-0 kama jkt na yanga.
 
Thread inaendelea,
Asian CL semi finals pia viwanja vilipata hali hii hii kama uwanja uliocheza leo yanga, naongelea semifinals tarehe 16 april, kutoka a na mvua hizi hizi, ilibidi michuano isimame. Wewe bwana sasa unaongea humu na pointless opinion wewe kama naanni? Mbona mawazo yako ya kitoto sana. Unahasira sana na chama chetu cha mpira, unaona siisi watanzania mabwege sana, kwamba hatufai kuongoza kila kitu, embu tuache ushenzi huu basi.
 
1.Hakukuwa na sababu ya kuhama uwanja.
2. Sheria inamruhusu home team kutoa taarifa kwa age group registrar kuhusu mechi reschedule na si away team, yaani kama unasema ruvu wamefosi kucheza mechi wako sahihi na sheria ipo uoande wao.
3. Manager wa pitch hutoa taaarifa kusitisha auu kuendelea kwa mechi.
 
kila siku tunaimba kuwa ligi yetu imepanda kwa ubora na inasemekana kuwa ipo nafasi ya tano kwa ubora Africa, nimeshangazwa sana toka jana baada ya mchezo wa jkt Tanzania vs Yanga sc kuahirishwa kutokana na uwanja kujaa maji

JKT Tanzania walindelea kutaka mchezo wao uchezwe palepale kwenye uwanja mbovu TFF na Bodi ya ligi hawakupinga tamko la jkt Tanzania kubaki katika uwanja mbovu na usiofaa kabisa katika matumizi ya mchezo

SWALI LANGU je ingekua timu nyingine isiyokiua ya jeshi TFF na Bodi ya ligi wangekaa kimya na kutii matamko ya timu kung"ang"ania uwnja mbovu?

TFF na Bodi ya ligi inachangia pakubwa mno kushusha hadhi ya ligi yetu inayofuatiliwa Africa nzima kwa makosa ya kizembe kama haya
ni aibu kuchezesha mpira kwenye tope
 
Hii ndiyo mechi nilikuwa nina uhakika Yanga atadondosha point maana hawezi kuruka ukuta kwenye kambi ya jeshi. Tena mshukuru tope lile limewabeba maana nyie ni wazee wa matopeni. Mahesabu yangu ya muda mrefu, Simba wangekaza wakashinda zile mechi zake za karibuni na ile derby ya juzi, baada ya leo ungekuta Simba anaongoza ligi ila ndio hivyo klabu imejaa watu wasiojitambua.
Kwahiyo zile 5 yanga alikua ana ruka ukuta ?
 
Hii ndiyo mechi nilikuwa nina uhakika Yanga atadondosha point maana hawezi kuruka ukuta kwenye kambi ya jeshi. Tena mshukuru tope lile limewabeba maana nyie ni wazee wa matopeni. Mahesabu yangu ya muda mrefu, Simba wangekaza wakashinda zile mechi zake za karibuni na ile derby ya juzi, baada ya leo ungekuta Simba anaongoza ligi ila ndio hivyo klabu imejaa watu wasiojitambua.
Amka usingizini.
 
Aibu sana kuwaogopa jeshi badala kusimamia....quality
 
kila siku tunaimba kuwa ligi yetu imepanda kwa ubora na inasemekana kuwa ipo nafasi ya tano kwa ubora Africa, nimeshangazwa sana toka jana baada ya mchezo wa jkt Tanzania vs Yanga sc kuahirishwa kutokana na uwanja kujaa maji

JKT Tanzania walindelea kutaka mchezo wao uchezwe palepale kwenye uwanja mbovu TFF na Bodi ya ligi hawakupinga tamko la jkt Tanzania kubaki katika uwanja mbovu na usiofaa kabisa katika matumizi ya mchezo

SWALI LANGU je ingekua timu nyingine isiyokiua ya jeshi TFF na Bodi ya ligi wangekaa kimya na kutii matamko ya timu kung"ang"ania uwnja mbovu?

TFF na Bodi ya ligi inachangia pakubwa mno kushusha hadhi ya ligi yetu inayofuatiliwa Africa nzima kwa makosa ya kizembe kama haya
Mi kinachonishangaza uwanja ni mpya lakini miundombinu tayari ipo hoi! Au wameujenga kwa bajeti ya kuunga unga?
 
Hii ndiyo mechi nilikuwa nina uhakika Yanga atadondosha point maana hawezi kuruka ukuta kwenye kambi ya jeshi. Tena mshukuru tope lile limewabeba maana nyie ni wazee wa matopeni. Mahesabu yangu ya muda mrefu, Simba wangekaza wakashinda zile mechi zake za karibuni na ile derby ya juzi, baada ya leo ungekuta Simba anaongoza ligi ila ndio hivyo klabu imejaa watu wasiojitambua.
Tujenge timu yetu tuache huu ujinga, kama Yanga amechukua points 6 kwetu unategemea nani atusaidie kumfunga!?
 
Hahahahaha pale pagumu
Nimecheki highlights, Aucho alitaka kumfanyia mwamba mmoja ule ubabe anaowaoneaga wengine, jamaa akusogeza hata unyayo akamnyooshea mikono juu akamuuliza unataka nini, wacha Aucho anywee kama siyo yeye aliyemkimbilia kama anataka kupigana
 
Back
Top Bottom