TFF na hatma ya mpira wa miguu Tanzania

Picha itengenezwe wapi wewe, kwa taarifa yako ninazo zote picha hadi video clip
. Yaan mmefikia hatua ya kutengeneza picha kufunika utumbo wenu Mikia? Kwa Kila alietazama gem ya Jana sifikirii kama anaweza kupoteza muda na utumbo huh.Nasema hivii. "WEKA VIDEO clip"
 
Siamini kama Raisi wa TFF ni raia wa Nchi hii maana naona haoni hata uchungu wa Soko la Nchi hii kuvurugwa.
 
huyu ni janga kwenye mpira wetu ...na hata haya mafanikio ya kucheza kombe la Africa nk ...ni bahati tu timu yetu imepata na ndiyo maana ukiangalia kwenye viwango vya soka hakuna tulicho improve...bado tupo kwenye nafasi 130 na kitu
Siamini kama Raisi wa TFF ni raia wa Nchi hii maana naona haoni hata uchungu wa Soko la Nchi hii kuvurugwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marefa wote wa VPL wafukuzwe watumike wa Ligi daraja la kwanza na la pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…