TFF na Klabu ya Simba kuzungumza na vyombo vya habari leo, Agosti 30

TFF na Klabu ya Simba kuzungumza na vyombo vya habari leo, Agosti 30

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
klabu ya Simba na TFF zimeelewana kuwarudisha wachezaji 6 wa Simba waliondolewa kwenye Timu ya Taifa baada ya kuchelewa kuripoti kambini..kesho watafanya press release ya pamoja.
FB_IMG_1535644444491.jpg
 
Kwa hisani ya www.sportspesa.co.tz

Jana nilidhan wachezaji wameonyesha utovu wa nidhamu lakini usiku nilikaa kuzisoma pamoja na mchana wa leo sheria/kanuni/taratibu za soka kutoka kwa shirikisho Mama (FIFA) nimebaini wachezaji hawana kosa lolote wala viongozi wa simba hawana kosa lolote kiutaratibu TFF ilipaswa kuiandikia simba sc barua siku 15 kabla ya mchezo na simba ilipaswa kujibu sio zaidi ya siku 6 , ndiomaana wenzetu wanaojua taratibu hizi watawaruhusu kina Samata kuungana na timu tarehe 4 ambapo ndio hiyo tarehe ilipaswa wachezaji wa simba,yanga na vilabu vingine walioitwa kwenye timu kuripoti kambini tarehe hiyohiyo (4),Nawasihi viongozi wa simba sc wawatete wenzao walioitwa kwenye kamati ya maadili hawana kosa lolote,Katibu wa TFF Kidau asitumie utashi wake kuongoza na kuacha kufuata kanuni .
(Alhaj Ismael Aden Rage).
 
Amunike tungemkimbiza kma digidigi pale taifa staazi ingebugizwa magoli ya kutosha.
BAHATI YAKE.
 
Siasa zinatugharimu...hao wachezaji wa Simba na Fei Toto waripoti kwa JPM wakafundwe JKT maana ya uzalendo...Coach aliomba apate angalau siku kumi kukaa na wachezaji ndio maana ratiba ya baadhi ya mechi zikafutwa..Kuwarudisha hao wachezaji ni kudhoofisha kambi...hawana ustar huo..Amunike kanyaga twende watakuelewa tu
 
Siasa zinatugharimu...hao wachezaji wa Simba na Fei Toto waripoti kwa JPM wakafundwe JKT maana ya uzalendo...Coach aliomba apate angalau siku kumi kukaa na wachezaji ndio maana ratiba ya baadhi ya mechi zikafutwa..Kuwarudisha hao wachezaji ni kudhoofisha kambi...hawana ustar huo..Amunike kanyaga twende watakuelewa tu
Namshauri kocha, wakiwarudisha hao mastaa wao, awaachie li-timu lao asepe zake.
 
Back
Top Bottom