Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nimesikia TFF wamemfungia Shafii Dauda kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi kwa miaka mitano. Imekuwa ikifungia watu wengi sana. Naomba kujua kama TFF wana monopoly ya soka nchi, yaani kama TANESCO walivyo na monopoly kwenye kuzalisha na kuuza umeme? Kwamba ukitaka kufanya shughuli zozote za soka ni mpaka TFF wahusike! Nani amewapa mamlaka hayo, ni halali kuwa hivyo?
Hivi mtu hawezi toka huko akaanzisha kampuni/taasisi yake. Akaanzisha ligi yake bila kujihusisha na hao TFF? Je kunaweza kuwa na vyama na mashirikisho mengi ya soka ambayo hayahusiana na TFF, CAF na FIFA?
Hivi mtu hawezi toka huko akaanzisha kampuni/taasisi yake. Akaanzisha ligi yake bila kujihusisha na hao TFF? Je kunaweza kuwa na vyama na mashirikisho mengi ya soka ambayo hayahusiana na TFF, CAF na FIFA?