TFF ni mahali patakatifu sio timu ya kufanyia majaribio ya soka!

Nina pingamizi dhidi ya malinzi
 
HAHAHAAAAAA KAAAIBIKA CLINTON HILARY NA MITANDAOO YAKO SEMBUSE MAYAI..MSUBIRI TUNAMTOA KIBRA HUYOO..MAPEMAA KABISAA
Naona unaongea huku unatetemeka kila kona ya mwili wako. Mayay kawashika pabaya huu mwaka
 
Huyo malinzi ni fisadi bora aingie mtu mwenye uchungu wa mpira
 
Malinzi hata afanyeje hafikishi kura 30 mwaka huu
 
Acheni Nyege Mshindo...Malinzi akasimamie soka kwenye chama cha soka cha mkoa wake apishe wengine, hakuna alichokifanya cha maana zaidi ya kurudisha kiwango cha soka nyuma...ni sawa na mchezaji aliyeingia tokea benchi na kwenda kujifungisha!
 
Acheni Nyege Mshindo...Malinzi akasimamie soka kwenye chama cha soka cha mkoa wake apishe wengine, hakuna alichokifanya cha maana zaidi ya kurudisha kiwango cha soka nyuma...ni sawa na mchezaji aliyeingia tokea benchi na kwenda kujifungisha!
Mihemko sio mizuri hasa unaongea mbele za malijali.
@ MalinziForSecondTerm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…