TFF ni tatizo ndio maana Wadua wa michezo wanakimbilia Mahakamani

Mohamed Mbelwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
507
Reaction score
272
Hawa tff wamekuwa sababu kubwa ya wadau wa Michezo kukimbilia mahakamani, hebu angalieni suala la kakolanya wamelikalia kimya huku mchezaji akiendelea kuharibu kipaji kwa kukaa bench, wanategemea Yanga na kakolanya wayamalize hivi kweli litawezekana, harafu tukikimbilia mahakamani hawakawii kutufungia maisha,

Kama mpenda soka Natafuta wanamichezo wenzangu tufike mahakamani jumatatu tarehe 4/02/2019. Hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi, kwa hili TFF wapo sawa hadi lifike mezani kwao.
 
Avunje mkataba ailipe YANGA tayari ameshalipwa chake masikini wa roho yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…