lukala
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 594
- 590
Habari wanamichezo wenzangu wa kabumba, sitaki poteza muda naomba TFF itoe maelezo kuhusiana na mchezaji wa Young African ambaye hakutimiza vigezo kwenye mfumo wa usajili.
Imtaje Nina kamili la mchezaji husika, aangaliwe amecheza mechi Gani? Nasheria zinasemaje kuhusiana na kosa hilo? na adhabu yake nini?
Soma
- Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Imtaje Nina kamili la mchezaji husika, aangaliwe amecheza mechi Gani? Nasheria zinasemaje kuhusiana na kosa hilo? na adhabu yake nini?
Soma
- Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)