Tff toeni jibu kuhusu maproo

Tff toeni jibu kuhusu maproo

mansoorsaid

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2014
Posts
1,498
Reaction score
286
maombi ya azamfc yanga na simba kuhitaji maproo kufikia 10 ni sahihi.
nawashauri tff watoe jibu haraka.
tff lazima mpitishe sio suala la kufikiri la sivyo kama hawataki vilabu hivyo kugomea ligi.
kama ni suala la wachezaji kwa ajili ya timu ya taifa kuna vilabu vingi vikiwa makocha wazawa hapo waonyeshe vipaji vyao vya ukocha taifa cup mmeifuta
 
Back
Top Bottom