Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Tuhuma zinasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa BW Baraka Kizuguto ambaye aliwahi kuwa msemaji wa Yanga na sasa ni mmoja wa maafisa wa TFF anayeshughulikia masuala ya club licensing akilalamikiwa kuwa aliihujumu Simba kwenye mchezo dhidi ya Al ahly kwa kuipa upendeleo Al ahly badala ya Simba.
Inasemekana pia juzi Simba under 20 wamegoma kucheza na under 20 ya Yanga kwa madai kuwa under 20 ya yanga ilichelewa kufanya usajili hadi dirisha linafungwa na madai yanasema kuwa jamaa huyo ambaye ni Yanga lia lia na ameshindwa kutofautisha kati ya kazi na mapenzi ameisaidia utopolo kuvunja kanuni ili kuiepuka yanga isishushwe daraja maana ili uweze kucheza ligi kuu kanuni zinataka uwe na under 20.
TFF isipuuze madai hayo, tujenge utamaduni wa kuwajibishana na hawa watu wanaoendekeza mapenzi katika kazi wekeni pembeni wanaharibu taswira ya taaasisi.
Inasemekana pia juzi Simba under 20 wamegoma kucheza na under 20 ya Yanga kwa madai kuwa under 20 ya yanga ilichelewa kufanya usajili hadi dirisha linafungwa na madai yanasema kuwa jamaa huyo ambaye ni Yanga lia lia na ameshindwa kutofautisha kati ya kazi na mapenzi ameisaidia utopolo kuvunja kanuni ili kuiepuka yanga isishushwe daraja maana ili uweze kucheza ligi kuu kanuni zinataka uwe na under 20.
TFF isipuuze madai hayo, tujenge utamaduni wa kuwajibishana na hawa watu wanaoendekeza mapenzi katika kazi wekeni pembeni wanaharibu taswira ya taaasisi.