TFF tuleteen Masudi Juma.

TFF tuleteen Masudi Juma.

kishumbaz

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
1,183
Reaction score
1,619
Nimeiangalia game ya jana na baadhi ya game ya taifa stars, nmegundua tatizo ni viongozi wa TFF kuajiri wrong coaches ambao hawaendani na characteristics za wachezaji wetu. Uganda na Kenya wameshajua hilo kwasasa wanaajiri wamkocha wanaoendana na characteristics za wachezaji wao.

Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojaliwa vipaji vya soka kama siyo afrika kwa sasa inaweza ikawa east africa. Na baadhi ya magwiji wa soka waliofika hapa wali recomend hilo.

nmefanya study ndogo nikagundua tatizo kubwa linaloisibu timu ya taifa ni uongozi kushindwa kuwa na wataalamu wa kuwashauri kutokana na uelewa wao, waangalie aina gani ya kocha anayeendana ama anayeelewa characteristics za wachezaji wetu ambaye aje aingize philosophy itakayo improve wachezaji wetu siyo kuwauwa kabisa kiuchezaji kama ilivyotokea kwa timu yangu Chelsea, walikuja kustuka msimu huu baada ya kufukuza makocha wengi sana.

Ushauri wangu kwa TFF, ningeshauri waongee na Masudi Juma. yule jamaa ni Kocha mzuri na anafahamu characteristics za wachezaji wetu na anawajua pia. nadhani atawasaidia kuwaimprove tofauti na hao makocha mnaotuletea wana implement systems zao za west africa, wakati kwetu huku wachezaji wanakula chips na ugali dagaa.
 
Una wazo kama langu mkuu..jana nimetoa ushauri huu pia kwenye mtandao wa fb
 
Nimeiangalia game ya jana na baadhi ya game ya taifa stars, nmegundua tatizo ni viongozi wa TFF kuajiri wrong coaches ambao hawaendani na characteristics za wachezaji wetu. Uganda na Kenya wameshajua hilo kwasasa wanaajiri wamkocha wanaoendana na characteristics za wachezaji wao.

Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojaliwa vipaji vya soka kama siyo afrika kwa sasa inaweza ikawa east africa. Na baadhi ya magwiji wa soka waliofika hapa wali recomend hilo.

nmefanya study ndogo nikagundua tatizo kubwa linaloisibu timu ya taifa ni uongozi kushindwa kuwa na wataalamu wa kuwashauri kutokana na uelewa wao, waangalie aina gani ya kocha anayeendana ama anayeelewa characteristics za wachezaji wetu ambaye aje aingize philosophy itakayo improve wachezaji wetu siyo kuwauwa kabisa kiuchezaji kama ilivyotokea kwa timu yangu Chelsea, walikuja kustuka msimu huu baada ya kufukuza makocha wengi sana.

Ushauri wangu kwa TFF, ningeshauri waongee na Masudi Juma. yule jamaa ni Kocha mzuri na anafahamu characteristics za wachezaji wetu na anawajua pia. nadhani atawasaidia kuwaimprove tofauti na hao makocha mnaotuletea wana implement systems zao za west africa, wakati kwetu huku wachezaji wanakula chips na ugali dagaa.
Hata akiletwa nani, kwa uswahili huu wa bongo hamna kitu. !!!
Nchi yetu inaharibiwa na uswahili na unafki
 
Hata akiletwa nani, kwa uswahili huu wa bongo hamna kitu. !!!
Nchi yetu inaharibiwa na uswahili na unafki
fact mkuu ila anaweza kutusaidia kwa short term na long term, na atakuwa msaada kwa wachezaji wetu, kuliko huyu anawauwa kabisa. bora tulinde tulichonacho wakati tukitafuta solution.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Taifa Stars hata aje Putin kama hatutavunja mifumo mibovu katika uteuzi wa wachezaji basi hakuna lolote litafanyika.

Inaonekana kuna viongozi wana wachezaji wao kuna kitu wanapata kupitia wao.
nalo hilo ni jipu.
 
Ipo wazi.. Karia sijui kakalia!... sio mtu wa mpira kabisa... kwanza tuu kitendo cha kuongeza idadi ya team kwenye ligi bila kumshirikisha mdhamini mkuu.. na hatimaye kujitoa ni ufala!!... pia eti sheria ya team mwenyeji kubeba mapato yote ni upuuzi unaotokea Tanzania tuu.. karia out!..
nb:ni bora kushabikia bendi ya sebene ya wakongo kuliko hii stars..
 
Nimeiangalia game ya jana na baadhi ya game ya taifa stars, nmegundua tatizo ni viongozi wa TFF kuajiri wrong coaches ambao hawaendani na characteristics za wachezaji wetu. Uganda na Kenya wameshajua hilo kwasasa wanaajiri wamkocha wanaoendana na characteristics za wachezaji wao.

Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojaliwa vipaji vya soka kama siyo afrika kwa sasa inaweza ikawa east africa. Na baadhi ya magwiji wa soka waliofika hapa wali recomend hilo.

nmefanya study ndogo nikagundua tatizo kubwa linaloisibu timu ya taifa ni uongozi kushindwa kuwa na wataalamu wa kuwashauri kutokana na uelewa wao, waangalie aina gani ya kocha anayeendana ama anayeelewa characteristics za wachezaji wetu ambaye aje aingize philosophy itakayo improve wachezaji wetu siyo kuwauwa kabisa kiuchezaji kama ilivyotokea kwa timu yangu Chelsea, walikuja kustuka msimu huu baada ya kufukuza makocha wengi sana.

Ushauri wangu kwa TFF, ningeshauri waongee na Masudi Juma. yule jamaa ni Kocha mzuri na anafahamu characteristics za wachezaji wetu na anawajua pia. nadhani atawasaidia kuwaimprove tofauti na hao makocha mnaotuletea wana implement systems zao za west africa, wakati kwetu huku wachezaji wanakula chips na ugali dagaa.

Naona unataka utuondolee ' Pipa ' na sasa utuletee ' Jaba ' Mkuu au?
 

Naona unataka utuondolee ' Pipa ' na sasa utuletee ' Jaba ' Mkuu au?
hapana mkuu...anahitajika mtu analifaham soka na characteristics za wachezaji wetu ili awaendeleze...hata mwambusi naona kama anafaa...ila kwa makocha wa nje nampa huyo sababu amekaa hapa bongo na soka letu analijua na system yake nahisi itafiti kwa wachezaji wetu
 
Nimeiangalia game ya jana na baadhi ya game ya taifa stars, nmegundua tatizo ni viongozi wa TFF kuajiri wrong coaches ambao hawaendani na characteristics za wachezaji wetu. Uganda na Kenya wameshajua hilo kwasasa wanaajiri wamkocha wanaoendana na characteristics za wachezaji wao.

Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojaliwa vipaji vya soka kama siyo afrika kwa sasa inaweza ikawa east africa. Na baadhi ya magwiji wa soka waliofika hapa wali recomend hilo.

nmefanya study ndogo nikagundua tatizo kubwa linaloisibu timu ya taifa ni uongozi kushindwa kuwa na wataalamu wa kuwashauri kutokana na uelewa wao, waangalie aina gani ya kocha anayeendana ama anayeelewa characteristics za wachezaji wetu ambaye aje aingize philosophy itakayo improve wachezaji wetu siyo kuwauwa kabisa kiuchezaji kama ilivyotokea kwa timu yangu Chelsea, walikuja kustuka msimu huu baada ya kufukuza makocha wengi sana.

Ushauri wangu kwa TFF, ningeshauri waongee na Masudi Juma. yule jamaa ni Kocha mzuri na anafahamu characteristics za wachezaji wetu na anawajua pia. nadhani atawasaidia kuwaimprove tofauti na hao makocha mnaotuletea wana implement systems zao za west africa, wakati kwetu huku wachezaji wanakula chips na ugali dagaa.
Tz hata aje Guadiora au Allegri bado hatuna wachezaji wanaojua wafanye nn wakati gani kutokana na misingi yao
 
Wachezaji wanaandalia na klabu zao hata km pale akiwepo masoud alafu kwenye klabu kukawa na ukiritimba bado stars haiwez kunyanyuka
 
Back
Top Bottom