TFF tumieni Azam TV kama VAR

Congo

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2008
Posts
2,081
Reaction score
2,325
Niwaombe sana TFF kutumia Azam TV kama VAR. Itasaidia sana kuondoa uamuzi wa kijinga kama uliofanyika leo 26.11.2022 kati ya Yanga na Mbeya City.

Mtakuwa.mmefanya mapinduzi makubwa sana kwenye mpira wa Tanzania.
 
Niwaombe sana TFF kutumia Azam TV kama VAR. Itasaidia sana kuondoa uamuzi wa kijinga kama uliofanyika leo 26.11.2022 kati ya Yanga na Mbeya City.

Mtakuwa.mmefanya mapinduzi makubwa sana kwenye mpira wa Tanzania.
Ujinga wa Leo mwachie Kayoko mwenyewe. Sijawahi kuona refa unaweka offside mpira ambao msaidizi wake wa pembeni kasema ni onside.
 
Kuna thread humu inazungumzia hilo, toka 2020 kama sikosei, wengekuwa ni wasikivu tayari wangekuwa wameshafanyia kazi, huenda saa hizi na maboresho yameshafanyika.

Ila bado hawajachelewa
 
Niwaombe sana TFF kutumia Azam TV kama VAR. Itasaidia sana kuondoa uamuzi wa kijinga kama uliofanyika leo 26.11.2022 kati ya Yanga na Mbeya City.

Mtakuwa.mmefanya mapinduzi makubwa sana kwenye mpira wa Tanzania.
Mlivyokuwa mnapewa magoli ya dhulma mlikaa kimyaa leo yamewakuta ndo mnataka VAR ile mechi ya AZAM ilikuwa mnakufa hata goli nne mpira unachezwa nje ya uwanja refa anaangalia tu.
 
Mlivyokuwa mnapewa magoli ya dhulma mlikaa kimyaa leo yamewakuta ndo mnataka VAR ile mechi ya AZAM ilikuwa mnakufa hata goli nne mpira unachezwa nje ya uwanja refa anaangalia tu.
Prison vs Simba

Simba anapata goli kwa mpira kuchezwa nje ya pich
 
Ujinga wa Leo mwachie Kayoko mwenyewe. Sijawahi kuona refa unaweka offside mpira ambao msaidizi wake wa pembeni kasema ni onside.
Huyu dogo sijuI ana undugu na nani pale TFF! Naona wanamlea sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…