GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Timu ambayo nashauri TFF ndiyo iichague Kucheza na Klabu ya Sevilla ya Hispania ( Spain ) iwe na Sifa Kuu zifuatazo:
1. Iwe Timu Tajiri Tanzania kwa sasa na imeiletea Sifa Kubwa nchi ya Tanzania kwa mwaka 2019
2. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake wengi kama si wote wanajua sana Ligha ya Kiingereza
3. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake kila baada ya Saa 72 huwa wanapanda Mbung'o / Ndege
4. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake wanalala Hoteli za Nyota Nne na Tano za kuanzia Dola 500
5. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake Mshahara wake wanapokea kwa wakati na Posho zao ni nyingi
6. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake kila mmoja analala Chumba chake akiwa Hotelini
7. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake wanakula mmoja mmoja na Wanashiba na siyo wanakula kwa Makundi kisha wengine hawashibi, wanakomboleza Sahani huku wengine wakiiba hadi Vijiko, Chumvi na Pilipili
Nawasilisha.
1. Iwe Timu Tajiri Tanzania kwa sasa na imeiletea Sifa Kubwa nchi ya Tanzania kwa mwaka 2019
2. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake wengi kama si wote wanajua sana Ligha ya Kiingereza
3. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake kila baada ya Saa 72 huwa wanapanda Mbung'o / Ndege
4. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake wanalala Hoteli za Nyota Nne na Tano za kuanzia Dola 500
5. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake Mshahara wake wanapokea kwa wakati na Posho zao ni nyingi
6. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake kila mmoja analala Chumba chake akiwa Hotelini
7. Iwe Timu ambayo Wachezaji wake wanakula mmoja mmoja na Wanashiba na siyo wanakula kwa Makundi kisha wengine hawashibi, wanakomboleza Sahani huku wengine wakiiba hadi Vijiko, Chumvi na Pilipili
Nawasilisha.