TFF Tunawaangalia Tu.

TFF Tunawaangalia Tu.

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
TFF tunawaangalia tu.. Narudia tena TFF tunawaangalia tu.. Haingii akilini kabisa, Eti;

1. Tumecheza na AFC Leopards, mnaanza kumaindi kua tumecheza mechi bila kufuata taratibu. Hizo taratibu zimeanza lini? Tumecheza mechi kibao na timu toka nje ya nchi mkawa kimya, iweje leo iwe nongwa?? Au mnataka nasi tuipime timu yetu na timu zinazoshiriki ndondo za mkoa wa Morogoro? Simba SC ya hivi sasa ni ya Uturuki bhana.

2. Leo mnamfungia meneja wa timu eti kisa wachezaji wa Simba SC walichelewa kuripoti kambi ya Taifa Stars.. Mbona meneja wa Ndala mmemuacha? Au kwa vile mmesikia kazi kubwa aliyokua akiifanya Meneja ya kuunganisha timu kati ya wachezaji, uongozi na benchi la ufundi.. ndo mmeamua kutuvunja nguvu. Kauli mbiu yetu ni NGUVU MOJA.. na hii nguvu haiwezi vunjwa kirahisi kama mnavyodhani.

TFF mbinu na njama zenu ovu zenye lengo kutuyumbisha tumezing'amua.. Na tutakabiliana nazo kwa jinsi zinavyokuja.

Nikiripoti toka katika viyunga vya Msimbazi... Ni Mimi sembo wa Simba TV 😡😡
 
Tanzania hatuna viongozi wa Michezo tuna Vilaza
Kutwa ujinga ujinga
Yapo pale kushibisha matumbo yao tu
 
Imekuwa
TFF tunawaangalia tu.. Narudia tena TFF tunawaangalia tu.. Haingii akilini kabisa, Eti;

1. Tumecheza na AFC Leopards, mnaanza kumaindi kua tumecheza mechi bila kufuata taratibu. Hizo taratibu zimeanza lini? Tumecheza mechi kibao na timu toka nje ya nchi mkawa kimya, iweje leo iwe nongwa?? Au mnataka nasi tuipime timu yetu na timu zinazoshiriki ndondo za mkoa wa Morogoro? Simba SC ya hivi sasa ni ya Uturuki bhana.

2. Leo mnamfungia meneja wa timu eti kisa wachezaji wa Simba SC walichelewa kuripoti kambi ya Taifa Stars.. Mbona meneja wa Ndala mmemuacha? Au kwa vile mmesikia kazi kubwa aliyokua akiifanya Meneja ya kuunganisha timu kati ya wachezaji, uongozi na benchi la ufundi.. ndo mmeamua kutuvunja nguvu. Kauli mbiu yetu ni NGUVU MOJA.. na hii nguvu haiwezi vunjwa kirahisi kama mnavyodhani.

TFF mbinu na njama zenu ovu zenye lengo kutuyumbisha tumezing'amua.. Na tutakabiliana nazo kwa jinsi zinavyokuja.

Nikiripoti toka katika viyunga vya Msimbazi... Ni Mimi sembo wa Simba TV 😡😡
Imekuwaje tena mtani, mbona viongozi wa TFF wote ni Mikia. Wanahujumu nn tena?
 
Huyo mbwea alitakiwa kufungiwa daima kwa kulihujumu Taifa
 
Huyo mbwea alitakiwa kufungiwa daima kwa kulihujumu Taifa
Kumbe Simba SC wasipokuwepo timu ya Taifa ni uhujumu wa Taifa.. Hahaha..
Sasa ninyi mashabiki wa Ndala, tunapoomba hii timu ibadilishwe jina na kuwa Simba SC kwanini hua mnabwabwaja?
 
Huyo mbwea alitakiwa kufungiwa daima kwa kulihujumu Taifa
Kumbe Simba SC wasipokuwepo timu ya Taifa ni uhujumu wa Taifa.. Hahaha..
Sasa ninyi mashabiki wa Ndala, tunapoomba hii timu ibadilishwe jina na kuwa Simba SC kwanini hua mnabwabwaja?
 
TFF tunawaangalia tu.. Narudia tena TFF tunawaangalia tu.. Haingii akilini kabisa, Eti;

1. Tumecheza na AFC Leopards, mnaanza kumaindi kua tumecheza mechi bila kufuata taratibu. Hizo taratibu zimeanza lini? Tumecheza mechi kibao na timu toka nje ya nchi mkawa kimya, iweje leo iwe nongwa?? Au mnataka nasi tuipime timu yetu na timu zinazoshiriki ndondo za mkoa wa Morogoro? Simba SC ya hivi sasa ni ya Uturuki bhana.

2. Leo mnamfungia meneja wa timu eti kisa wachezaji wa Simba SC walichelewa kuripoti kambi ya Taifa Stars.. Mbona meneja wa Ndala mmemuacha? Au kwa vile mmesikia kazi kubwa aliyokua akiifanya Meneja ya kuunganisha timu kati ya wachezaji, uongozi na benchi la ufundi.. ndo mmeamua kutuvunja nguvu. Kauli mbiu yetu ni NGUVU MOJA.. na hii nguvu haiwezi vunjwa kirahisi kama mnavyodhani.

TFF mbinu na njama zenu ovu zenye lengo kutuyumbisha tumezing'amua.. Na tutakabiliana nazo kwa jinsi zinavyokuja.

Nikiripoti toka katika viyunga vya Msimbazi... Ni Mimi sembo wa Simba TV 😡😡
Halafu yule mwenyekiti wa maadili kashindwa hata kutamka bocco njii bana shida
 
Kumbe Simba SC wasipokuwepo timu ya Taifa ni uhujumu wa Taifa.. Hahaha..
Sasa ninyi mashabiki wa Ndala, tunapoomba hii timu ibadilishwe jina na kuwa Simba SC kwanini hua mnabwabwaja?
Hawajui wanachokitaka
 
Back
Top Bottom