TFF unautambuaje umeneja na misingi yake na unafanya kazi vipi tofauti na uwakala?

TFF unautambuaje umeneja na misingi yake na unafanya kazi vipi tofauti na uwakala?

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Baada ya ujio wa Taarifa ya TFF kuhusu mawakala wanaotambulika nimeona watu wanakuja na umeneja vs uwakala

HEBU TUPENI ELIMU JAMANI.

Ila je umeneja ni mtu ama taasisi?

Je, TFF inautambuaje umeneja na misingi yake ni nini na unafanya kazi vipi tofauti na uwakala?

TUNACHAMBUAJE WAJOMBA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom