Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Baada ya ujio wa Taarifa ya TFF kuhusu mawakala wanaotambulika nimeona watu wanakuja na umeneja vs uwakala
HEBU TUPENI ELIMU JAMANI.
Ila je umeneja ni mtu ama taasisi?
Je, TFF inautambuaje umeneja na misingi yake ni nini na unafanya kazi vipi tofauti na uwakala?
TUNACHAMBUAJE WAJOMBA.
Sent using Jamii Forums mobile app
HEBU TUPENI ELIMU JAMANI.
Ila je umeneja ni mtu ama taasisi?
Je, TFF inautambuaje umeneja na misingi yake ni nini na unafanya kazi vipi tofauti na uwakala?
TUNACHAMBUAJE WAJOMBA.
Sent using Jamii Forums mobile app