Nipo hapa uwanja wa uhuru, kuangalia mechi ya Azam na Simba, kusema kweli utaratibu wa kuingia uwanjani ni mbovu, askari wamejazana kwenye vimilango, foleni ndefu na hazisogei, fujo. Tumerudishwa enzi zile za watu kukimbizwa kimbizwa uwanjani na askari wa farasi.
Hii mechi ni kubwa kwa nini msiweke utaratibu mzuri?
Watu wanakatishwa tamaa kuja viwanjani kwa sababu ya mambo kama haya, badirikeni ai