Tff Waendekeza Njaa

Nungwi

Senior Member
Joined
Sep 9, 2006
Posts
196
Reaction score
12
Shirikisho la soka Tanzania(TFF) Limekuwa likiwanyang'anya jezi wachezaji wa Timu ya Taifa kila baada ya mechi. na kitendo cha beki wa timu ya Taifa Canavarro kubadilishana jezi na mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon-Etoo amelazimika kutozwa faini na TFF.

hivi hawajui kuwa Etoo kuchukua jezi ya Timu yetu ni kuitangaza nchi yetu?
Tff wana pata pesa nyingi sana kama kiingilio na hawana gharama zozote kwa timu kwani NMB na Serengeti wanaidhamini timu yetu, huu ni unyama unaofanywa na TFF hasa katibu mkuu Mwakalebela. habari zaidi iko gazeti la mwananchi.co.tz la leo.
 
Hii hatari!Hata ukata si kihivyo jamani!
 
Jezi wanazotumia wachezaji wa timu ya taifa zinatakiwa zibakiawe kwa wachezaji hao kama sehemu ya kumbukumbu zao; kwanza nadhani kila jezi huwa ina jina la mchezaji mwenyewe aliyeitumia. Wachezaji wana tabia ya kubadilishana jezi baada ya mcehzo kama njia moja ya sportsmanship.

TFF vipi nyie? Nilikuwa na matumaini sana na uongozi bwa Leodgar Tenga lakini basi tena.
 
Hivi jezi za taifa stars zina majina ya wachezaji kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…