Serikali inaweza kuingilia jambo lolote lie kwa maslahi ya wananchi wake. Utajuaje, pengine kuna ishu za kiusalama zimeonekana je?Serikali haipaswi kuingilia haya mambo, kuna sababu gani ya muhimu?
Tena bila ya sababu yeyote ile kutajwa wala kuomba radhi kwa mashabiki.TFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda wa kuanza mchezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Someni vzr hiyo taarifa
Wizara husika ipo chini ya TFF sio..Serikali haihusiki na mpira. Wenye mamlaka ya kusimamia mpira ni TFF, wao ndio waliotunga sheria za soka, na wao ndio wasimamizi. Chochote kinachotokea kuhusiana na mpira, wanaulizwa wao, na sio serikali.
TFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda wa kuanza mchezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Someni vzr hiyo taarifa
Haina hayo mamlaka, serikali ikiingilia chochote kwenye soka msubiri rungu la FIFA.serikali ndo imesogeza muda acheni kuwalaumu tifua tifua
Narudia kukuelewesha uwezo huo hawana na kama wanao taja kanuni.Sio kusogezwa mbele tu, serikali ina uwezo wa kuifuta kabisa mechi kwa siku fulani, na kuipeleka siku nyingine. Kumbuka sio TFF waliofanya hivyo, bali ni serikali kupitia BMT
Wamezingua sanaTena bila ya sababu yeyote ile kutajwa wala kuomba radhi kwa mashabiki.
Huku nikutokutuheshimu watu wa mpira.
Kwa hili nakubaliana na simba
Siasa na matakwa binafsi ndio yametumika kusogeza mbele hii mechi. Hakuna tatizo lolote la kiusalama.Wizara husika ipo chini ya TFF sio..
Hapa ni kitabu cha mzee basi hakuna jipya sijui walikuwa hawajui kama ni game leo
Hapa ilikuwa wazi sababu ni nini. Ila kwenye mechi ya leo, ni upumbavu wa watu wachache ndio umeleta haya yote
Mama alitaka azindue kitabu na game acheki akasahau mshika mawili moja humponyokaSiasa na matakwa binafsi ndio yametumika kusogeza mbele hii mechi. Hakuna tatizo lolote la kiusalama.
TFF ilibidi isimamie sheria zake. Wizara ipo katika kusaidia soka, na sio kuendesha soka.
Kwa nini serikali waingilie masuala ya Michezo, kanuni za Fifa zinasemaje?serikali ndo imesogeza muda acheni kuwalaumu tifua tifua
Zipi, kama hizo halafu wao wawe salama kuzindua kitabu cha Mzee wetu?Serikali inaweza kuingilia jambo lolote lie kwa maslahi ya wananchi wake. Utajuaje, pengine kuna ishu za kiusalama zimeonekana je?
Acha kuunga mkono upumbavuSerikali inaweza kuingilia jambo lolote lie kwa maslahi ya wananchi wake. Utajuaje, pengine kuna ishu za kiusalama zimeonekana je?
tff ni wakurupukaji tu.Kwanza hyo ramadhan imekuja ghafla?Mbona ramadhan tunayo leo ni ck ya 25?Kuna watu wanadai ni sababu ya wachezaji waliofunga wafuturu kabisa... Wanasahau kuwa hata hivyi hao wachezako hawawezi kula chakula cha maana zaidi ya juice na maji ili wasije zingua kwenye game kitu ambacho wangeweza simamisha game kwa dak 5 wachezaji wakanywa hivyi vitu mbalanga likaendelea
Wiki 3 kabla hawakujua kuwa kuna kufunga? Ni wajinga wajinga tu.Kuna watu wanadai ni sababu ya wachezaji waliofunga wafuturu kabisa... Wanasahau kuwa hata hivyi hao wachezako hawawezi kula chakula cha maana zaidi ya juice na maji ili wasije zingua kwenye game kitu ambacho wangeweza simamisha game kwa dak 5 wachezaji wakanywa hivyi vitu mbalanga likaendelea
Wanasababu za kijinga sana kama hiyo ndio sababu. Kwani mfungo umeanza leo gafla? Kama mfungo umeanza takribani wiki tatu zilizopita kwann hawakuchukua maamuzi mapema? Mbona kunatimu nyingine zinacheza hata bila kufuturu au nazo hazistahili kupewa kipaombele?Kuna watu wanadai ni sababu ya wachezaji waliofunga wafuturu kabisa... Wanasahau kuwa hata hivyi hao wachezako hawawezi kula chakula cha maana zaidi ya juice na maji ili wasije zingua kwenye game kitu ambacho wangeweza simamisha game kwa dak 5 wachezaji wakanywa hivyi vitu mbalanga likaendelea