TFF wametoaje kibali kwa Lameck Lawi wakati suala lake lipo kwenye Kamati ya Hadhi ya Wachezaji?

TFF wametoaje kibali kwa Lameck Lawi wakati suala lake lipo kwenye Kamati ya Hadhi ya Wachezaji?

rodrick alexander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
16,784
Reaction score
23,312
Wakati swala la mchezaji Lameck Lawi likiwa kwenye kamati ya Sheria na hadhi ya wachezaji tayari taarifa zinasema ameshafanyiwa vipimo na timu ya Genk ya Ubelgiji.

Kama wamemfanyia vipimo ni wazi kuwa mchezaji huyo ana nakala zote za Chama cha Soka Tanzania TFF.

Kitendo cha kamati ya TFF kukaa ili kuamua shauri Hilo ni Kama usanii kwa sababu maamuzi yameshatolewa na pia iwapo Simba itaonekana Ina haki hawaoni itawaingiza kwenye mgogoro mkubwa na club ya Genk ambayo imevutiwa sana na wachezaji wa Kitanzania.
 
Hamna kesi hapo wewe usilete habari zako lameck lawi ni mchezaji halali wa coast union hajawahi hata kuvaa jezi ya simba hivyo coast wameshamuuza fanya yako
 
Timu inamchukua mtu kwa kumuua kipaji chake anataka kwenda Nje wapo busy kuwa ni mchezaji wetu alicheza namba ngapi hapo Simba vima nyie kama sio kutaka kumpeleka kwa Mkopo Geita gold kaona fursa mnataka abaki home ndio maana Tanzania ina wachezaji wachache sana nje kwa sababu ya huu ubabaishaji..
 
Timu inamchukua mtu kwa kumuua kipaji chake anataka kwenda Nje wapo busy kuwa ni mchezaji wetu alicheza namba ngapi hapo Simba vima nyie kama sio kutaka kumpeleka kwa Mkopo Geita gold kaona fursa mnataka abaki home ndio maana Tanzania ina wachezaji wachache sana nje kwa sababu ya huu ubabaishaji..
Umejuae kama kipaji chake kinaenda kufa. Sio Kila Jambo unatanguliza ushabiki.
 
Mnataka kijana wa watu awekwe kwenye sanda
NB:kwa hili Niko na tff asilimia zote kijana aende huko ughaibuni kama wameshindwa kuelewana anaenda kama mchezaji huru
 
Wakati swala la mchezaji Lameck Lawi likiwa kwenye kamati ya Sheria na hadhi ya wachezaji tayari taarifa zinasema ameshafanyiwa vipimo na timu ya Genk ya Ubelgiji.
Kama wamemfanyia vipimo ni wazi kuwa mchezaji huyo ana nataka zote za chama Cha soka Tanzania TFF. Kitendo cha kamati ya TFF kukaa ili kuamua shauri Hilo ni Kama usanii kwa sababu maamuzi yameshatolewa na pia iwapo Simba itaonekana Ina haki hawaoni itawaingiza kwenye mgogoro mkubwa na club ya Genk ambayo imevutiwa Sana na wachezaji wa kitanzania.
Ubaya ubwela ni uhuni uhuni kwenye sajili za Bongo na hapo bado Kibu,mkegeuka upande mwengine mna Aweso.
 
Back
Top Bottom