TFF wanakula matunda ya uchawi viwanjani. Timu zenye nidhamu kushuka daraja

TFF wanakula matunda ya uchawi viwanjani. Timu zenye nidhamu kushuka daraja

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tutofautishe kati ya uchawi, dawa na sumu, Uchawi unaadhili akili TU ya mtu (psychic) lakini dawa na sumu vinaathili mwili na akili (psycho-soma).

Kitu chochote kama vile maneno, paka, ndege, ungo, kikapu, hirizi, kibatali, kumwaga maji, kuzunguuka uwanja na vitendo vyote ambayo sio sehemu ya mchezo wa mpira kwenye mpira huwa vina lengo la kuathili akili mchezaji, kocha, uongozi na mashabiki wa timu pimzani huo ni uchawi. Dawa kubwa ya uchawi wa aina hii ni kuupuuza na kuugeuza kuwa sehemu ya mpira (vichekesho, burudani na utamaduni wa mpira wetu wa miguu). Timu lazima ziwe na watu (psychoanalytic) kwaajili ya kutatua shida za kichawi na nyingine zinazoathili akili za wachezaji kama misiba, kupoteza mechi, kukaa benchi, nk)

Madawa na sumu michezoni: hizi ni dawa zinazoongeza au kupunguza nguvu ya akili na misuli ya mchezaji wakati wa mechi. Hizi ni mbaya sana, TFF ndiyo inatakiwa kutumia nguvu zake zote kwenye aina hii ya uhalifu michezoni. Kama Kuna timu inayowapa wachezaji wake dawa zinazoongeza uwezo wao wa akili na misuli (nguvu) au kutumia dawa ya kunyong'onyeza akili na misuli ya timu pinzani lazima hatua kali (fine, kukatwa points, kichushwa daraja) zichukuliwe.

Timu inayoonekana ina nidhamu kwa TFF ni Ile timu ambayo itaingia vyumba vya kubadilisha jezi hata kama Kuna harufu kali ya dawa iliyopulizwa. Hii ni nidhamu ya kipuuzi michezoni.

Kuulingilia mlango usiorubusiwa ni ishara kuwa Kuna tatizo kwenye timu zetu, TFF na jamii yetu. Huwezi kutenganisha uchawi na mila na desturi za jamii, hata wazungu imani hizo wanazo, lakini dawa yake sio fine bali elimu.
 
kitu wapendacho watanzania..
Dawa ya uchawi viwanjani ni elimu, usajili mzuri, benchi zuri la ufundi, mishara mizuri kwa wachezaji, uongozi Bora, waamuzi wazuri na ratiba nzuri ya ligi. Baaaaasi!! TFF na bodi ya ligi inakula fedha haramu za kichawi.
 
TFF wawekeze kwenye maabara za kupima mikojo na damu za wachezaji na viongozi na hewa kwenye vyumba vya uwanjani badala ya kuhangaikia watu wanaoingia uwanjani kinyumenyume. Ukiingia kinyumenyume na ukafungwa 4-0 utarudia Tena uchawi huo?
 
Tutofautishe kati ya uchawi, dawa na sumu, Uchawi unaadhili akili TU ya mtu (psychic) lakini dawa na sumu vinaathili mwili na akili (psycho-soma).

Kitu chochote kama vile maneno, paka, ndege, ungo, kikapu, hirizi, kibatali, kumwaga maji, kuzunguuka uwanja na vitendo vyote ambayo sio sehemu ya mchezo wa mpira kwenye mpira huwa vina lengo la kuathili akili mchezaji, kocha, uongozi na mashabiki wa timu pimzani huo ni uchawi. Dawa kubwa ya uchawi wa aina hii ni kuupuuza na kuugeuza kuwa sehemu ya mpira (vichekesho, burudani na utamaduni wa mpira wetu wa miguu). Timu lazima ziwe na watu (psychoanalytic) kwaajili ya kutatua shida za kichawi na nyingine zinazoathili akili za wachezaji kama misiba, kupoteza mechi, kukaa benchi, nk)

Madawa na sumu michezoni: hizi ni dawa zinazoongeza au kupunguza nguvu ya akili na misuli ya mchezaji wakati wa mechi. Hizi ni mbaya sana, TFF ndiyo inatakiwa kutumia nguvu zake zote kwenye aina hii ya uhalifu michezoni. Kama Kuna timu inayowapa wachezaji wake dawa zinazoongeza uwezo wao wa akili na misuli (nguvu) au kutumia dawa ya kunyong'onyeza akili na misuli ya timu pinzani lazima hatua kali (fine, kukatwa points, kichushwa daraja) zichukuliwe.

Timu inayoonekana ina nidhamu kwa TFF ni Ile timu ambayo itaingia vyumba vya kubadilisha jezi hata kama Kuna harufu kali ya dawa iliyopulizwa. Hii ni nidhamu ya kipuuzi michezoni.

Kuulingilia mlango usiorubusiwa ni ishara kuwa Kuna tatizo kwenye timu zetu, TFF na jamii yetu. Huwezi kutenganisha uchawi na mila na desturi za jamii, hata wazungu imani hizo wanazo, lakini dawa yake sio fine bali elimu.
Elimu ni muhimu lakini utampa mtu elimu alfu kesho anarudia makosa Yale Yale mfano ni Simba na Yanga mara kadhaa wanaonywa kuhusu hizo tabia na adhabu wanapewa lakini bado wanarudia makosa yale Yale,dawa ni kuwapa adhabu Kali kama kukatwa alama au kushushwa daraja bila kujali wewe ni nani na una impact gani kwnye ligi.
 
Tutofautishe kati ya uchawi, dawa na sumu, Uchawi unaadhili akili TU ya mtu (psychic) lakini dawa na sumu vinaathili mwili na akili (psycho-soma).

Kitu chochote kama vile maneno, paka, ndege, ungo, kikapu, hirizi, kibatali, kumwaga maji, kuzunguuka uwanja na vitendo vyote ambayo sio sehemu ya mchezo wa mpira kwenye mpira huwa vina lengo la kuathili akili mchezaji, kocha, uongozi na mashabiki wa timu pimzani huo ni uchawi. Dawa kubwa ya uchawi wa aina hii ni kuupuuza na kuugeuza kuwa sehemu ya mpira (vichekesho, burudani na utamaduni wa mpira wetu wa miguu). Timu lazima ziwe na watu (psychoanalytic) kwaajili ya kutatua shida za kichawi na nyingine zinazoathili akili za wachezaji kama misiba, kupoteza mechi, kukaa benchi, nk)

Madawa na sumu michezoni: hizi ni dawa zinazoongeza au kupunguza nguvu ya akili na misuli ya mchezaji wakati wa mechi. Hizi ni mbaya sana, TFF ndiyo inatakiwa kutumia nguvu zake zote kwenye aina hii ya uhalifu michezoni. Kama Kuna timu inayowapa wachezaji wake dawa zinazoongeza uwezo wao wa akili na misuli (nguvu) au kutumia dawa ya kunyong'onyeza akili na misuli ya timu pinzani lazima hatua kali (fine, kukatwa points, kichushwa daraja) zichukuliwe.

Timu inayoonekana ina nidhamu kwa TFF ni Ile timu ambayo itaingia vyumba vya kubadilisha jezi hata kama Kuna harufu kali ya dawa iliyopulizwa. Hii ni nidhamu ya kipuuzi michezoni.

Kuulingilia mlango usiorubusiwa ni ishara kuwa Kuna tatizo kwenye timu zetu, TFF na jamii yetu. Huwezi kutenganisha uchawi na mila na desturi za jamii, hata wazungu imani hizo wanazo, lakini dawa yake sio fine bali elimu.
Ndo maana derby yetu inaitwa watani wa jadi.......watu wanaathirika kisaikolojia kwasababu unakuta wote wamekutana wameenda kwa waganga na siku hizi wanatoa makafara ,kwahio kila mmoja anawaza nani anamuwahi mwenzake ,ila kama haupo upande huo we vichukulie tu kama part ya burudani, mengine watajuana wao na miungu yao
 
Elimu ni muhimu lakini utampa mtu elimu alfu kesho anarudia makosa Yale Yale mfano ni Simba na Yanga mara kadhaa wanaonywa kuhusu hizo tabia na adhabu wanapewa lakini bado wanarudia makosa yale Yale,dawa ni kuwapa adhabu Kali kama kukatwa alama au kushushwa daraja bila kujali wewe ni nani na una impact gani kwnye ligi.
Mtu anaeona kuingia na paka mweuzi ni uchawi basi huyo mtu ni mchawi pia. Huwezi kuwaza uchawi kama wewe huamini uchawi. Uchawi utapungua au kwisha kabisa kama timu na TFF zitaongeza uwekezaji kwenye sayansi ya mpira, vitalu vya watoto, malipo na usajili. Sio kwa kutoza fine timu. Huwezi kutenganisha imani ya uchawi na jamii kwa kutoa adhabu, bali kwa elimu .
 
Tena mechi km ya Leo imechezwa tayari mpk makocha wanafanyaga sub za ajabu mno hii yote sababu ya uchawi,mechi hizi kwa TZ hakuchezwi mpira bali mchawi mwenye nguvu ndio anashinda ndio maana kunakuaga na matokeo ya ajabu sana uwanjani
 
TFF wawekeze kwenye maabara za kupima mikojo na damu za wachezaji na viongozi na hewa kwenye vyumba vya uwanjani badala ya kuhangaikia watu wanaoingia uwanjani kinyumenyume. Ukiingia kinyumenyume na ukafungwa 4-0 utarudia Tena uchawi huo?
Mbona pamoja na kuingia kinyume nyume wanafungwa tu na hawaachi?hapo dawa ya kudumu,ukionyesha imani za kishirikina tu uwanjani unapunguziwa point 3,uone kama huo ujinga hataisha,badala ya kulipa faini,ila kwakuwa hicho nacho kimekuwa chanzo cha mapato tff sawa.
 
Ndo maana derby yetu inaitwa watani wa jadi.......watu wanaathirika kisaikolojia kwasababu unakuta wote wamekutana wameenda kwa waganga na siku hizi wanatoa makafara ,kwahio kila mmoja anawaza nani anamuwahi mwenzake ,ila kama haupo upande huo we vichukulie tu kama part ya burudani, mengine watajuana wao na miungu yao
Maana yake timu hazina psychologists na ma psychoanalysts, nafasi zao zinajazwa na waganga wa kienyeji wanaofanyakazi za wataalamu hawa wanaokosekana kwenye vilabu. Mganga wa kinjekitile aliwaaminisha wapiganaji vita vya majimaji kuwa risasi za wajerumani zitageuka maji lakini hazikugeuka maji na wazee wetu wakafa wengi.

Uchawi utaisha michezoni kadili sayansi ya mpira inavyoshika kasi. Sio kwa adhabu za kitapeli.
 
Mbona pamoja na kuingia kinyume nyume wanafungwa tu na hawaachi?hapo dawa ya kudumu,ukionyesha imani za kishirikina tu uwanjani unapunguziwa point 3,uone kama huo ujinga hataisha,badala ya kulipa faini,ila kwakuwa hicho nacho kimekuwa chanzo cha mapato tff sawa.
Nani anaathilika kama timu ikiingia kinyumenyume? Wapuuzwe TU na kuwaona kama wapagani au manjonjo na machejo TU.
 
TFF na Bodi ya Ligi kumejaa vilaza na wapigaji tu. Wameweka faini na tozo nyingi, halafu hawatuambii hizo pesa zikipatikana zinapelekwa kwenye mfuko gani!
 
Back
Top Bottom