Sisi tunaoshangilia na kuipatia hamasa timu yetu ya taifa tunatakiwa kulipa VIINGILIO ila wale ambao hawashangilii Wala kutoa hamasa ndio hawatakiwi kulipa VIINGILIO
Wenzetu wasiotoa VIINGILIO watakaa vip na vvip wakila Bata na kugonga cheers huku SS tukisisitizwa tushangilie kwa hamasa na VIINGILIO tumetoa
Si na wewe uangalie kama sisi kupitia Azam Sports HD! Yaani ni full VIP! Unaangalia ukiwa home, tena kwa malipo ya tsh. 20,000/= tu kwa mwezi, huku ukiwa umekaa kwenye sofa na kinywaji chako baridiii.