TFF, wanoshangilia walipe viingilio halafu wanaokula bata wasilipe -- hii ni haki kweli?

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
TFF wamekuja na utaratibu wa kushangaza kidogo

Sisi tunaoshangilia na kuipatia hamasa timu yetu ya taifa tunatakiwa kulipa VIINGILIO ila wale ambao hawashangilii Wala kutoa hamasa ndio hawatakiwi kulipa VIINGILIO

Wenzetu wasiotoa VIINGILIO watakaa vip na vvip wakila Bata na kugonga cheers huku SS tukisisitizwa tushangilie kwa hamasa na VIINGILIO tumetoa

KARIA WALLACE HUJATUTENDEA HAKI KABISA

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuanzia huku duniani hadi huko peponi na jehanamu kuna matabaka. Kubaliana na hali tu
 
Si na wewe uangalie kama sisi kupitia Azam Sports HD! Yaani ni full VIP! Unaangalia ukiwa home, tena kwa malipo ya tsh. 20,000/= tu kwa mwezi, huku ukiwa umekaa kwenye sofa na kinywaji chako baridiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…