TFF wapinga vitendo vya ubaguzi kwa mashabiki wa mpira wa miguu

Mimi ni Simba lkn Kua na msemaji wa timu mwenye elimu ya la 7 ni changamoto sana.
 
Utopolo mwandamizi akililia kuwaona Simba
Kwa kweli wapo baadhi narudia baadhi ya wanasimba ni wajinga na wapumbavu pamoja na pia uncivilized...yaani utazuiaje mashabiki wengine wasiingie uwanjani eti kwa kuwa wanaizomea Simba?! Kuzomea na kushangilia ni sehemu ya soka...
 
Kwa kweli wapo baadhi narudia baadhi ya wanasimba ni wajinga na wapumbavu pamoja na pia uncivilized...yaani utazuiaje mashabiki wengine wasiingie uwanjani eti kwa kuwa wanaizomea Simba?! Kuzomea na kushangilia ni sehemu ya soka...
Huyo jamaa Ni mshamba sijui wa upoloto? Anaweka moira ni uadui
 
Mashabiki wa Simba na Plateau ndio wanahitajika uwanjani. Acheni vurugu subirieni na nyie mkifuzu mtaingia kushangilia
Akili ndogo Sana katika hoja hii...hata Yanga wanaweza kuwa mashabiki wa plateau labda useme wanachama wa plateau..
Yaani watu wengine humu ni wajinga Sana..
 
Manara ego yake anaharibu credibility ya Simba. Ila zaidi sasa inamwaribia yeye binafsi.
 
Ole wenu tunawaone mechi zetu kuanzia ya juma pili na masau bwile wanayanga tumekubaliana kauli ya manala tumeipokea kwa mikono miwili mje na midela yenu ya mo mtaona show
 
Akili ndogo Sana katika hoja hii...hata Yanga wanaweza kuwa mashabiki wa plateau labda useme wanachama wa plateau..
Yaani watu wengine humu ni wajinga Sana..
Wajinga ni nyie Simba badala mpambane na nyie mfuzu kama Simba mnabakia kung'ang'ania kwenda kuwashangilia mabwana zenu Plateau
 
Kwa kweli wapo baadhi narudia baadhi ya wanasimba ni wajinga na wapumbavu pamoja na pia uncivilized...yaani utazuiaje mashabiki wengine wasiingie uwanjani eti kwa kuwa wanaizomea Simba?! Kuzomea na kushangilia ni sehemu ya soka...
Wanapenda utani lakini hawauwezi , hii ishu wamei personalize sana , wakati soka
Hali taki ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…