rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Nani aje kwenye pira gimbiOle wenu tunawaone mechi zetu kuanzia ya juma pili na masau bwile wanayanga tumekubaliana kauli ya manala tumeipokea kwa mikono miwili mje na midela yenu ya mo mtaona show
Unadandia usiyoyajuaKama namuona Eymael nyinyi level yenu ihefu mambo ya caf hayawahusu
Duh...aisee..umechanganyikiwa...Wajinga ni nyie Simba badala mpambane na nyie mfuzu kama Simba mnabakia kung'ang'ania kwenda kuwashangilia mabwana zenu Plateau
Wewe msengeh naona bado mapumbu yanakuwasha ngoja tuje wanaume tuje tukukune mana naona simba imekukaa kwenye moyo kama mumeoWanasimba ndo hamna akili, mechi ya kimataiga ndo mechi gani hiyo?
We kweli mjingaHao wafungiwe hata mwaka KUCHEZA bila mashabiki
Achana na tff mkuu kichaka cha wahuni hicho na bado kuna ishu ya pesa za rushwa inakuja ...FIFA wanawazoom tu kwa mbali, Leo hii ndio wanajifanya kujua ubaguzi mavih yao..tusiwape umaarufu haoTFF mbona hamjakemea mishabiki ya utopolo ilivyokuwa inamrushia makopo mshika kibendera kwenye mechi dhidi ya Azam?
Mashabiki wa utopolo wengi sio wastaarabu
Sasa inatatizo gani kwani hao mashabiki ndiyo wanacheza mpira?Tatizo mashabiki wa Yanga hawana akili, mechi ya kimataifa hii lakini wao wataingia kuishangilia Plateau.
Hiefu ndo nn wewe nyang'auNyie utopolo mnaweza kulipiza kisasi kwa kutuzuia kuangalia mechi yenu na hiefu
Issue hapa sio kuogopana,Tanzania Football Failure Leo ndo wame.prove wana muogopa Haji, wanamjua kwenye barua yao hawajamtaja hali ya kuwa wanajua ndo aliesema.. wonderful enough sielewi kwanini wanamuogopa or the Man is so powerful kwenye industry ya football ya TZ?
Msijisahaulishe...hivi karibuni mmekua mkipiga mashabiki wa Simba kwenye mechi zenu na hiyo ndo sababu...kama kuzomea na kushangilia mmefanya kwenye mechi yenu dhidi yetu na tumewapiga nne...mmeshangilia Nkana, Al ahly ,As vita,Js soura na tumeshinda...Simba hajawahi ogopa kelele za Chura tena wa Jangwani...ila kuweni wastaarabu...juzi tu mechi ya Azam mnarusha makopo...TFF inashindwa kuwawajibisha sababu za kisiasa ila tumewaonyesha kwamba hatuwataki kama mnalazimisha lazimisheni...pia mjirekebishe.Kwa kweli wapo baadhi narudia baadhi ya wanasimba ni wajinga na wapumbavu pamoja na pia uncivilized...yaani utazuiaje mashabiki wengine wasiingie uwanjani eti kwa kuwa wanaizomea Simba?! Kuzomea na kushangilia ni sehemu ya soka...
Nyangau mama yako aliyekuzaaHiefu ndo nn wewe nyang'au
Writing skills zero brain wewe// siyo kila kitu lazima uje hapa kupost ! ungekuwa ndugu yangu wewe ningebadilishana tu na gunia la ufutaNyangau mama yako aliyekuzaa
Pelekeni hiyo mechi kwenye ule uwanja wa mudy, Mkapa stadium ni wa wananchi na kila mwananchi anaruhusiwa kuingiaManara alisema wazi kabisa kwamba tarehe 5 ni jersey nyeupe na nyekundu tu hao utopolo [emoji196][emoji196][emoji196]wakitaka kuishabikia plateu United waende vibanda umiza wakashangilie huko Kwa kuimba
Utopoloo[emoji196][emoji196][emoji196] utopoloo [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] utopoloooo[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] ila taifa tunataka [emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Sawa....Sisi tumeshasema code yetu ni White and Red ,Sasa wewe jichanganye uone tutamalizana humohumo ndani na wewe.
Umemaliza ..Pelekeni hiyo mechi kwenye ule uwanja wa mudy, Mkapa stadium ni wa wananchi na kila mwananchi anaruhusiwa kuingia