Nyie wakuu hapo TFF tunaomba muwe na utaratibu wa kuiupdate wavuti yenu.Si wadau tukiitembelea tunakuta habari za mwaka 49.Mnashindwa hata na blog za akina Michuzi?Nyie ni taasisi kubwa na dunia ya leo ni ya TEKNOHAMA.
Nyie wakuu hapo TFF tunaomba muwe na utaratibu wa kuiupdate wavuti yenu.Si wadau tukiitembelea tunakuta habari za mwaka 49.Mnashindwa hata na blog za akina Michuzi?Nyie ni taasisi kubwa na dunia ya leo ni ya TEKNOHAMA.