popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 372
Habari zenu jamani, najua wahusika wapo hapa jukwaani tubaomba sana Uongozi muweke kiingilio cha bei ya chini ili wananchi tuujaze uwanja ktk kushangilia mechi ya Taifa Stars Vs Uganda ipo nguvu kubwa sana ktk sauti nw kelele za mashabiki. Kama mtaweza muweke hata 2,000/= mzunguko hakika tutajaa saaana na mganda atashangaa sana
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app