Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
TFF Imeandaa mashindano ya Kunywa Uji wakati huu wa Ramadhani na Yanga inaonekana Ina uwezo Mkubwa wa kuchukua KOMBE LA UJI MWAKA HUU kutokana na Usajili wake na Ufundishwaji chini ya Super Couch (not Coach ) Mwinyi Zahra. Simba wakiwa na Coach wao Patrick Eussems hawakufanikiwa kupata nafasi ya Kushiriki.
Yanga Kombe watakalochukua Mwaka huu ni Kombe la Uji au Kombe la Kwendea Chooni.
Yanga Kombe watakalochukua Mwaka huu ni Kombe la Uji au Kombe la Kwendea Chooni.