Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
TFF Imeandaa mashindano ya Kunywa Uji wakati huu wa Ramadhani na Yanga inaonekana Ina uwezo Mkubwa wa kuchukua KOMBE LA UJI MWAKA HUU kutokana na Usajili wake na Ufundishwaji chini ya Super Couch (not Coach ) Mwinyi Zahra. Simba wakiwa na Coach wao Patrick Eussems hawakufanikiwa kupata nafasi ya Kushiriki.
Yanga Kombe watakalochukua Mwaka huu ni Kombe la Uji au Kombe la Kwendea Chooni.
Usihw ukasahau Yanga ni Bingwa mara 27 na Mikia mara 20.
Hizo saba kunyweni huo uji mfidie.
Sawa mkuu wa wapumbavu. Na wewe Leo umejitahidi kuweka thread inayooakisi level ya upumbavu wako, Hongera.TFF Imeandaa mashindano ya Kunywa Uji wakati huu wa Ramadhani na Yanga inaonekana Ina uwezo Mkubwa wa kuchukua KOMBE LA UJI MWAKA HUU kutokana na Usajili wake na Ufundishwaji chini ya Super Couch (not Coach ) Mwinyi Zahra. Simba wakiwa na Coach wao Patrick Eussems hawakufanikiwa kupata nafasi ya Kushiriki.
Yanga Kombe watakalochukua Mwaka huu ni Kombe la Uji au Kombe la Kwendea Chooni.
Sa
Sawa mkuu wa wapumbavu. Na wewe Leo umejitahidi kuweka thread inayooakisi level ya upumbavu wako, Hongera.
Maisha yakikushinda hujifichia kwenye historia,Mara oooh nilikuwa wa kwanza darasani!!!!inasaidia niniUsihw ukasahau Yanga ni Bingwa mara 27 na Mikia mara 20.
Hizo saba kunyweni huo uji mfidie.
Ingependeza zaidi wakati unaongea hiyo mipasho yako ungevaa Dera huku ukisindikizwa na Kigoma cha KiuruguaiMla mla leo mla jana kala nini? Anayeshangilia harusi ni yule anayeoa leo wewe uje na umbute mbute wako useme unashangilia harusi ya mwaka juzi leo...bado una hang over.
Mwaka huu mtapata kombe la Uji tu au la Kopo la Kwendea Chooni ...Vyura nyie. Wa kuwabeba malinzi anajibeba mwenyewe...
Baelezeage hao Mikia FC hawajitambui.Usihw ukasahau Yanga ni Bingwa mara 27 na Mikia mara 20.
Hizo saba kunyweni huo uji mfidie.