Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
Tff ni failure siku nyingi, hili la Haji ni nyongeza tu.Yanga fukuzeni huyu LUNATIC,aichafua timu..... Inawezekana tifuatifua Wana mapungufu yao ila kukaribisha hili jinga kwenye Brand yetu ni kichefuchefu
Yes wanamapungufu yao ila Haji nayeye anaona kama hatakiwi kuhuswaTff ni failure siku nyingi, hili la Haji ni nyongeza tu.
Kweli?Mpaka sasa
Haji 4
karia 0
Mechi bado inaendelea.
TFF inastahili kutukanwa mara 1000 mahela yote wanakusanya wanashindwa kuliendeleza soko la bongo kisa ni kuchumia tumbo, siasa, uyanga na Usimba 🤧🤧
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Kidao Wilfred amesikitishwa na madai ya aliyekuwa Ofisa wa klabu ya Yanga, Haji Manara kuwa alimuomba msamaha kwa maelezo kuwa Rais wa TFF, Wallace Karia alifanya makosa.
Kidao amesema maneno hayo si ya kweli, na Sekretarieti ya TFF haina nafasi ya kuendelea kuzungumzia jambo ambalo tayari limetolewa uamuzi na chombo huru cha TFF.
Julai 21 mwaka huu Kamati ya Maadili ya TFF ilimfungia Manara kujihusisha na mpira wa miguu ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili, na kumpiga faini ya sh. milioni 20 kwa kosa la kumtishia na kumdhalilisha Rais wa TFF.
View attachment 2303469
Maria sio raia Ni msomaliMuda mwingne huruma inaumiza sana
Karia ungemuacha huyu mtu kifungoni ili akuze brand yake vizuri
Maria ndio nanMaria sio raia Ni msomali
Huu ndio ukweli mchungu..Manara ni kirusi..!Yanga fukuzeni huyu LUNATIC,aichafua timu..... Inawezekana tifuatifua Wana mapungufu yao ila kukaribisha hili jinga kwenye Brand yetu ni kichefuchefu
Nasma mbona unaleta ukabilaTatizo ni kuongozwa na mtu ambaye sio mtanzania huko kwao somalia hapat hata ujumbe fa.ala huyo
Maria gani tena wewe simbilisi?Maria sio raia Ni msomali