TFF yawafungia Jonas Mkude na Benard Morrison

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Kamati ya nidhamu ya TFF imewafungia mechi mbili kila mmoja na faini ya laki tano.

Jonas Mkude anaingia kwenye adhabu hii baada ya kumpiga kiwiko mchezaji wa Biashara United ya Mara.

Huku Benard Morrison naye akiingia katika adhabu hii baada ya kumpiga kiwiko mchezaji wa Tanzania Prisons ya Mbeya.
Adhabu hizi zinaanza mara moja kuanzia michezo ya leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…