chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,079
- 3,550
Lakini pamoja na hilo, embu angalia Walipewa siku 60 kwa Simba na Yanga kufanya uchaguzi..Lakini Simba walitimiza na Yanga kuna nafasi inatakiwa ijazwe kwa kuwa ziko wazi
Kama Yanga wanamtaka Manji wafuate utaratibu, achukue fomu agombee Uenyekiti tena, kwani alijiuzulu na nafasi yake akachukua Kaimu Mwenyekiti Clement Sanga, sasa hapo kosa la TFF au Serikali liko wapi mkuu
Yaani Manji arudi kienyeji kwanini?
Miaka mitatu mutawalia siyo maisha..Hivi ukifungiwa maisha kama hivyo, na faini juu ,je usipotoa hiyo faini nini kinafuata
Kwa nini Clement Sanga alifutwa uenyekiti wa bodi ya ligi?????TFF walisema Sanga sio mwenyekiti wa Yanga ...baada ya Manji kukataliwa na wanachama maombi yake ya kujiuzuru right!!!!sasa hao hao TFF hawamtambui Manji kama ni mwenyekiti wa Yanga..Mkizidi kukomaa Yanga tutaenda mahakamani Tanzania tufungiwe hata kama tutaqualify AFCON
Sijakupata vizuri mkuu, naomba ufafanuzi Wa swali langu....Nimeuliza nini kinatokea endapo hujalipa hiyo faini NB:Siyo mpenzi Wa Simba wala YangaMiaka mitatu mutawalia siyo maisha..
Hata hivyo Mashabiki wa timu wakifanya vurugu na kusababisha kuharibu vitu kama viti au kuvunja vioo, klabu ndo itabeba jukumu la kulipa na si mshabiki
Kwa mukhutadha huo jibu unalo hapo
TFF na Mwakyembe wote Msimbazi, wanataka tukose nguvu za kisu, ila tutawapiga chini tu, wewe subiri, kama wananchama wanamtaka kibopa wao wanawashwa nini?! Tutawafyekelea mbali mahakamani...Hii tff ya Kingese imejaa mbumbumbu watupu wakisikia Manji wanapagawa
Bora kupata maradhi yoyote lakini siyo ya umbumbumbuTulia wewe chura na punguza Munkar..Ulidhani TFF ya Malinzi hii, huna cha kuandika piga kimya kila siku maneno hayo hayo tu huchoki.!!