Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetambulisha jezi mpya zitakazotumiwa na Taifa Stars ikiwemo jezi ya nyumbani, jezi ya ugenini na jezi namba tatu.
Oktoba 11, 2020 Tanzania itacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Burundi, jijini Dar es Salaam ambapo tayari Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amewasili nchini jana kwa ajili ya maandalizi.
Aidha, Kampuni ya Bia ya Serengeti Premium Lager imeingia makubaliano na kusaini mkataba wa Tsh. Bilioni 3 na TFF wa kuidhamini Taifa Stars kwa kipindi kingine cha miaka 3.
View attachment 1592084
View attachment 1592083
Nyeupe nooo, big noooo....Hivi mi najiuliza Tff haeana designer wazuri wa Jezi, hizi Jezi hapana, ni mbaya sana, bora Rangi nyeupe kwa T shirt Na bukta nyeusi zingependeza zaidi
Sio za Yanga ni za Kifwamba UnitedMbona jersey za yanga
Rangi nyeupe ipo kwenye mlingoti na kamba🤣Bendera ya taifa haina rangi nyeupe.
Hasa hiyo ya njanoNzuri sana hizi....
TFF, Karume StadiumZinapatikana wapi?
Yule kocha hakukosea. Uneducated na hawajui mpira kaz ni kubwekabweka km mbwa na akaenda mbali zaid. Ni MINYANIYanga ni timu ya Wananchi wa Tanzania na timu ya Taifa nayo ni ya Wananchi wa Tanzania!
Ni tofauti kabisa na ile timu ya Wahindi wa Bombay ya Mwamedi fc.
Hongera TFF kwa uzi mzuri. Mtuletee na huku Mikoani, tutanunua.
KUCH KUCH Hotahe!! Haihitaji uwe na akili nyingi kuthibitisha nilichokisema. Kuna utofauti mkubwa kati ya Timu ya Wananchi dhidi ya hii ya Mwamedi wa Bombay.Yule kocha hakukosea. Uneducated na hawajui mpira kaz ni kubwekabweka km mbwa na akaenda mbali zaid. Ni MINYANI
Ndio timu ya wananchiMbona jersey za yanga