TFF yazuia watu kuzungumzia Mkataba wake na GSM

Yule Mwarabu wa nguruka anaeona ufahari kuzaliwa kariakoo alivyo na kiherehere lazima aiongelee kama katoa baba yake
 
Ndio wanaopaswa kuzungumza huu mkataba ni pande mbili tu TFF na GSM na kama haupo kwenye hizo pande basi hupaswi kuzungumza chochote
 
Hapo kuna sehemu tunapigwa, mikataba inatakiwa ishirikishe timu ili zijue
 
Wanajua mashabiki wengi wa Mpira Ni darasa la 7 kwa hio Ni fresh tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…