Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
TFRA tfr Nyanda za juu imekamata mbolea za ruzuku zikotoroshwa. Mbolea hizi zilikuwa kwenye hiace 3 na bajaji 2 na pickup moja.
Shehena kubwa ilipakuliwa tokea katika magari hayoooo
Meneja wa TFRA amesema swali wahusika wamekamatwa ama ni madreva tu
Tushazoea hata ukisikia waethiopia wanakamatwa unasikia na dreva kakimbia nawaza kama hawatajulikana tunapootezeana mda tu.
Shehena kubwa ilipakuliwa tokea katika magari hayoooo
Meneja wa TFRA amesema swali wahusika wamekamatwa ama ni madreva tu
Tushazoea hata ukisikia waethiopia wanakamatwa unasikia na dreva kakimbia nawaza kama hawatajulikana tunapootezeana mda tu.