D Dina JF-Expert Member Joined Sep 18, 2008 Posts 3,224 Reaction score 1,789 May 25, 2009 #21 nyamayao said: liisemekana kwamba bila wao wacngeweza kufanya haruc kama ile so ni lazima wajipongeze kwa kazi nzito... Click to expand... Kwa kifupi, kamati ilikuwa inaji-reward! Hata ile michango waliyoahidi kwa mbwembwe wamejirudishia na faida labda! Kweli kamati nyingine kiboko!
nyamayao said: liisemekana kwamba bila wao wacngeweza kufanya haruc kama ile so ni lazima wajipongeze kwa kazi nzito... Click to expand... Kwa kifupi, kamati ilikuwa inaji-reward! Hata ile michango waliyoahidi kwa mbwembwe wamejirudishia na faida labda! Kweli kamati nyingine kiboko!