[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Jamani kila kitu Sasa hivi ni dili,,, watu wanaingiza mpunga,,, hata skendo za aibu ni dili,, ipo siku mtasikia Mama Dangote kaachia collabo na mwanae,,, nayo ni attention pia kwa wadau,
Kama ni dada wa star mkubwa kwanini asijengewe na kuishia kupanga, sema queen darleni hanaga aibu yuleAah alisema hawezi kutolewa kwenye nyumba kwa kushindwa kulipa kodi yeye ni dada wa star mkubwa.
Jivunie familia yako, hizi familia za kitaa ni full maigizo.
Duh..[emoji3064][emoji3064][emoji3064]Ingeitwa 'KUTOKA UZEENI KUJA UJANANI'.View attachment 1679926View attachment 1679935
Achana na maisha ya wengine member mwenzangu. Fanya yako. Huo muda unaupata wapi? Unafuatiliaje maisha ya watu kiasi hicho mtoto wa kiume?Ikiwapendeza hii familia ianzishe family show itakayorusjwa na tv mbalimbali
Ni familia yenye matukio kila uchao kuanzia mafanikio mpaka kashfa mbalimbali
Ni famila yenye watoto wasiotokana na baba na mama mmoja..huku kimafanikio wakiongizwa na Naseeb bila kusahau umaarufu TRENDS haziishi daily
Hebu wafanye kitu kitakachowapatia kipato kingine..hiini FURSA
Ingeitwa 'KUTOKA UZEENI KUJA UJANANI'.View attachment 1679926View attachment 1679935
Kwa picha hizi, ama kweli nimeamini pesa ni sabuni ya roho,, gwanji ni sabuni yamwili tu. Ndio maana watu wenye pesa hawazeeki upesi,, unamkuta mzee amekula 80 lakini anadunda tu, na anaitwa baby,, Ukimkuta kijana yule choka mbaya yeye kaonja 30 tu, anaambiwa shikamoo babu..Ingeitwa 'KUTOKA UZEENI KUJA UJANANI'.View attachment 1679926View attachment 1679935
Ila kwa show inawezekana sababu kuna uwezekano wa kuweka matangazo katikati. Na still wakapiga mtonyo.Mimi naona kama nchi waruhusu tu utoaji mimba, uvutaji bange na homosexuality Kwasababu watu wanafanya na kutangaza pia wanafanya.
Sasa kama hawakamatwi na kuhojiwa maana yake ni halali.
Hatuwezi kuwa na sheria zenye MACHO.
Na kuhusu masuala ya Show, labda nikwambie siyo kila "niche" inaweza kuwa monetized.
Unaweza kufungua website ya ngono ukapata lundo la watembeleaji lakini usipate hata 100.
Mbaya zaidi cheti cha kuzaliwa cha diamond jina LA baba likaandikwa AbdulJumaaa badala ya Nyange.1. Mama Diamond anasema kuwa, mzee Abdul hakuwa baba mzazi wa Diamond, inakuaje tena (yeye huyo huyo) aseme kwamba, mzee Abdul aliikataa mimba? Alikataaje kitu (mimba) ambacho si chake? Na kama ni kweli ALIIKATAA, maana yake ni kwamba, basi mama Diamond alitaka kumpa hiyo mimba.
Kwanini alitaka kumpa kitu (mimba) ambacho siyo chake? Kwa lugha rahisi alitaka KUMBAMBIKIA). Je, kosa la mzee Abdul ni kukataa kubambikwa?
2. Mama Diamond amesema kwamba, mzee Abdul hakuwa baba mzazi wa Diamond—alikuwa ni baba mlezi tu. Pia, yeye huyo huyo akasema tena kuwa, mzee Abdul aliahidi kumlea Diamond lakini HAKUMLEA (rudia hilo neno—HAKUMLEA). Na hata yeye (mama Diamond) hakuwahi kuishi kwa mzee Abdul—na hata picha walizoonekana wakiwa pamoja (kipindi Diamond akiwa mtoto), ilikuwa tu wamepita kumsalimia mzee Abdul hapo Magomeni alipokuwa akiishi.
Je, mtu ambaye umesema hakuwa baba mzazi wa mtoto, na umesisitiza kuwa HAKUMLEA, hicho cheo cha "BABA MLEZI" kilitoka wapi? Alikuwa analea nini?
3. Mama Diamond amesema, mzee Abdul alikataa mimba (ubaya), lakini pia amesema, hakuwa akihudumia kama alivyoahidi (ubaya), pia amesisitiza kuwa, mimba haikuwa yake (ubaya). Kwa lugha rahisi, mama Diamond ameamua kumpaka UBAYA mzee Abdul.
Kama hayo ni kweli, je, hizo pesa ambazo mama Diamond alikuwa anapewa mara kwa mara na Diamond ili akampatie mzee Abdul zilikuwa zinakwenda kwa mzee Abdul kama nani? (Maana mtoto hakumzaa yeye, na wala hakumlea).
4. Mama Diamond amesema, alimpa Diamond ubini wa Abdul kwa sababu (mzee) Abdul ndiye aliyempeleka hospitali kujifungua. Pamoja na hayo, amesisitiza kuwa bwana Salum Nyange (anayemtaja kuwa ndiye baba mzazi wa Diamond), alikuwa anakwenda Tandale kumangalia mtoto (Diamond) kama kawaida. Maana yake ni kwamba, mzee Salum Nyange hakumkataa mtoto. Swali: Inawezekanaje mtu yule yule (mzee Abdul) aliyetaka kubambikwa mimba akaikataa, ndiye akasimama kidete kumpeleka mama Diamond hospitali?
Kama mwenye mimba (Salum Nyange) alikuwepo na hakukataa mimba, ilikuwaje mama Diamond ampe mtoto (Diamond) u-bini wa mtu mwingine (mzee Abdul) kisa tu alimpeleka hospitali kujifungua? Je, ilikuwaje mzee Abdul akaahidi KUMLEA Diamond ilhali baba mzazi wa Diamond (bwana Salum Nyange) alikuwa hai na alikuwa anakwenda kumwangalia mtoto?
Sent using Jamii Forums mobile app
ila hii idea nimeilewa ni nzuri
Esma kaachika tena ama?Ikiwapendeza hii familia ianzishe family show itakayorusjwa na tv mbalimbali.
Ni familia yenye matukio kila uchao kuanzia mafanikio mpaka kashfa mbalimbali.
Ni famila yenye watoto wasiotokana na baba na mama mmoja huku kimafanikio wakiongizwa na Naseeb bila kusahau umaarufu TRENDS haziishi daily.
Hebu wafanye kitu kitakachowapatia kipato kingine.
Hii ni fursa
Ikiwapendeza hii familia ianzishe family show itakayorusjwa na tv mbalimbali.
Ni familia yenye matukio kila uchao kuanzia mafanikio mpaka kashfa mbalimbali.
Ni famila yenye watoto wasiotokana na baba na mama mmoja huku kimafanikio wakiongizwa na Naseeb bila kusahau umaarufu TRENDS haziishi daily.
Hebu wafanye kitu kitakachowapatia kipato kingine.
Hii ni fursa