Thabit Abdul kuipeleka taarabu kanisani

" Haloooooooo haloooow njoo kwa yesu babu wee" hiyo haikubaliki hata kidogo..he need to sit down and shut his mouth or someone shut it up for him
Ahahaaa mkuu hii imenchekesha.
Check album ya muimba kwaya from +254
 

Attachments

  • 1475267741745.jpg
    14 KB · Views: 43
Mungu alimpa mwanadamu utashi na miongozo ya mambo ya kufanya na mamlaka ya kuhukumu anayo mwenyewe tofauti na mungu wa upande wa pili yule aliyeagiza watu wake wahukumu. Sasa hao wa taarabu gospel nadhani watajua wenyewe kama waki sahihi au lau
Ndombolo inadondoshwa vizuri kanisani na miuno juu,sioni tofauti.
 
Mbona watu wanaona ni big issue wakati kawaida tu?! Hivi watu hawaimbi Gospel kwa kutumia rhythm ya hip hop? What's so special in Taarabu wakati nao ni aina ya muziki tu kama ilivyo hip hop, R&B, Reggae n.k?!
 
Mbona watu wanaona ni big issue wakati kawaida tu?! Hivi watu hawaimbi Gospel kwa kutumia rhythm ya hip hop? What's so special in Taarabu wakati nao ni aina ya muziki tu kama ilivyo hip hop, R&B, Reggae n.k?!
hatutaki taarabu apeleke uko msikitini,asilimia kubwa ya taarabu inaimbwa na waislam na wengi wao wamesoma madrasa.
Hatutaki upumbavu huo sisi
 
Kama lege ipo, sebene lipo na rap ipo why not taarabu.
 
hatutaki taarabu apeleke uko msikitini,asilimia kubwa ya taarabu inaimbwa na waislam na wengi wao wamesoma madrasa.
Hatutaki upumbavu huo sisi
Nonsense! Baada ya kuanza kuukataa upumbavu ambao tayari upo; unaanza kumwaga povu kwa upumbavu ambao haupo! Kwahiyo kwavile hip hop inaimbwa na wakristo ni sawa kuimbwa kanisani lakini kwavile taarabu inaimbwa na waislamu sio sawa wakati yote ni miziki ya kishetani? Akili za wapi hizi!!!!
 
wapi umeona hiyo miuno? acheni kujazana upumbavu uko vijiweni kwenu
Unavyomwaga mapovu kwa hizi dini za kuja... utaumia bure tu ndugu; dini zenyewe watu washazibinafsisha hizi huku wewe ukikazana kuita watu wapumbavu... That's why I keep believing Christians and Muslims are the most idiot communities ever existed in the world history!!
 
na wewe tumia akili kufikiri hip hop inaimbwa na watu wa dini zote.ila hizo taarabu ni waislam tu ndio wanaoimba na kama kuna wakristo wanaimba taarabu basi hawazidi wawili tz hii.
Taarabu imekaa kimajungu na kimbea
 
na wewe tumia akili kufikiri hip hop inaimbwa na watu wa dini zote.ila hizo taarabu ni waislam tu ndio wanaoimba na kama kuna wakristo wanaimba taarabu basi hawazidi wawili tz hii.
Taarabu imekaa kimajungu na kimbea
cr'ap!! Unasumbuliwa na chuki za kidini badala ya kuwa objective! Ungekuwa unatumia akili kufikiri ungegundua kwamba Gospel ni namna mojawapo ya kufikisha ujumbe kwa waumini na wasio waumini! Na kwa ilivyo hizi dini mbili, kila moja inatamani kupata wafuasi wa upande mwingine! Sasa ikiwa unaamini taarabu ni muziki wa Waislamu, basi ungekuwwa unatumia akili ungegundua namna moja ya kuwafikia Waislamu ni kutumia muziki wao! Lakini kwavile hutumii akili na badala yake unaongozwa na makando makando ya chuki, umechukulia Gospel kutumia Taarabu ni kuhusisha na Uislamu... unasahau kwamba hata kama watatumia culture (Taarbu Asili) bado content yake ni ya Yesu na ndugu zake!! Sasa ikiwa Mwislamu alikuwa hasikilizi Gospel kwavile inaimbwa kwa aina ya muziki asioupenda, hatimae atasikiliza Gospel kwavile inaimbwa kwa aina ya muziki aliyoizoea!
 
Uyu si muislamu kwa nn asiimbe akapeleka msikitini atuache na dini yetu
kasilimu,tena akisilimu alafu hilo liwe ndio kama ombi lake,atapewa support zote akanyagie na kukanyagia kidogo upande alio toka,nia yake itatimia
 
kwani miziki mingine ilipenya vp kwenye gospel? ,gospel ya leo ina ndombolo,yamoto band,soukous nk,itashindwaje taarabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…