Thabit Abdul kuipeleka taarabu kanisani

Man Fongo ajiandae kutoa kitu kwa kondoo wa bwana.
 
Okay nadhani munashindwa kuelewa! Kumwimbia Mungu haijalishi umetumia mahadhi gani! Unaweza kumwimbia kwa style ya Mduara/kisingeli/kibongo flava/Kisebene/kikwaito/kihindi/kiarabu etc cha msingi ni maneno utakayo yatumia na aina ya ufikishaji ujumbe hasa kwa walengwa! So katika aina ya muziki pale panakuwa na kuchujwa kwa syle za uchezaji na maneno flani flani ili kubakiza ladha ya midundo ya ile nyimbo ili ujumbe wa kiroho umfikie mjumbe!
yap tena Thabitanaweza imba akapendezwa akawa anamsifu Mungu jambo jema! Azidi kubarikiwa kaka Thabiti kwa kumsifu Mungu!
 
Mbona gospel watu wanaselebuka kibolingo bolingo! Wanaselebuka ki raggae raggae kama bob marley.
sasa hapo inakuwaje?

Sina nia ya kukashifu dini ya mtu...nauliza kwa ustaarabu tu maana tumeona hiyo miondoko.
 
Makanisa yenyewe kama ni haya ya akina Rose Muhando wanaocheza ndombolo hata sasa, aende tu
 
Mbona gospel watu wanaselebuka kibolingo bolingo! Wanaselebuka ki raggae raggae kama bob marley.
sasa hapo inakuwaje?

Sina nia ya kukashifu dini ya mtu...nauliza kwa ustaarabu tu maana tumeona hiyo miondoko.
Ngoja tumsubiri tuone, ila asije akaleta mtafaruku
 
Kuna mijitu ni mipumbavu mno na hizi dini za kuletwa, MIJITU HII SIDHANI KAMA INAJUA KUWA WALE WAARABU WAKRISTO KULE MISRI WANAPIGA HIYO GOSPEL YENYE MAPIGO YA DUFU A.K.A KASWIDA, UKIWAULIZA JE MAPIGO YA HIP HOP YAMEWEKWA NA MUNGU AU BINADAMU JIBU HAWANA. UKIWAULIZA JE HAMJUI HIYO TAARABU KAMA ISHAWAI KUTUMIKA KUMUIMBIA "MUNGU" HAWAJUI.UKIWAULIZA JE MNAJUA KUWA KUNA WAKRISTO KIBAO WANAOIMBA HIYO TAARABU HAWAJUI KAZI KUPINGA TU. NA UKIWAAMBIA KUNA HADI MZUNGU ALISHAWAI KUIMBA HIYO TAARABU HAWAJUI,ILA YATAPINGA TU.
 
Kama aliombwa ashilikian na waimba kway nan alaumiw kat ya yy na walomwomba
 
Kwani kuna ubaya gani watu kutumia mahadhi ya taarabu kumsifu Mungu...au kumsifu Mungu kuna maadhi maalumu
 
Akitengeneza ya kiislamu anaweza akaliwa kichwa mchana kweupe....
 
Kiukweli dini ya kikristo ina fursa nyingi sana, ukijifanya pastor utapiga pesa za kutosha, ukiimba injili kanisani nako pia utapiga hela. Kule upande wa pili ni kujitolea tu we fikiria mtu anaenda kufanya ibada ameshika sh.200 tu ya sadaka!
 
Thabit amedai kuwa waimba kwaya wengi wenye majina makubwa nchini wamemfuata ili wafanye nae kolabo ingawa mwanzoni al
Mungu hana mwimbaji mkubwa wala mdogo, yeye akaimbe kumsifu, kumwabudu na kumshangilia Mungu siyo kuwafurahisha waimbaji wakubwa
 
Yaani ule mselebuko wa kishangingi uingie kanisani!!? Isifike mahala watu wakaanza kudhihaki dini za wengine kwa tamaa ya pesa.
Huyu anachokifanya hakikubaliki kwa waungwana na watu wanaotakia mema utashi wa kidini.
Lakini pia makanisani kunachezwa ndombolo ya soloo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…