BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Ronaldo ni mjanja sana, ameona kipindi hiki anachoelekea kuchuja na miaka ikienda mbio ( kwao miaka 30+) ni uzee, ameona apige dili la mwisho la maana kwenye mpira wa miguu kama kazi yake.
Kila sekunde yake anapata 2800
Kila dakika yake anapata 167,000
Kila saa anapata milioni 10
Kila siku anapata milioni 241
Kila wiki anapata bilioni 1 na milioni 600
Kila mwezi anapata bilioni 6 na milioni 700
Je wewe kwa kazi yako thamani yako ni nini ? What is your worth kwa unaowafanyia kazi? Je kwa output unayotoa unachopata ni sawa?
See you at the top spp
Kila sekunde yake anapata 2800
Kila dakika yake anapata 167,000
Kila saa anapata milioni 10
Kila siku anapata milioni 241
Kila wiki anapata bilioni 1 na milioni 600
Kila mwezi anapata bilioni 6 na milioni 700
Je wewe kwa kazi yako thamani yako ni nini ? What is your worth kwa unaowafanyia kazi? Je kwa output unayotoa unachopata ni sawa?
See you at the top spp